Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Cheki hapa ratiba iliyobaki kwa timu ya arsenal na wanavyotabiriwa namna watakavyomaliza msimu kwa pointi watakazovuna.

ARSENAL

Msimamo: Nafasi ya Sita

Pointi: 48

Mechi: 30

Ratiba mechi zilizobaki

Arsenal v Stoke City

Arsenal v Southampton

Newcastle v Arsenal

Arsenal v West Ham

Man United v Arsenal

Arsenal v Burnley

Huddersfield v Arsenal

Arsenal inasubiri muujiza tu ndiyo utakaowafanya wamalize Ligi Kuu England msimu huu wakiwa ndani ya Top Four katika msimamo. Kwa sasa wamekusanya pointi 48 tu katika mechi 30 walizocheza. Kuifikia timu inayoshika nafasi ya nne kwa sasa, inahitaji kushinda mechi tano, huku wenzao hao walipo kwenye nafasi hiyo ya nne, Tottenham wasiwe wameshinda mechi yoyote wala kutoka sare. Arsenal imebakiza mechi nane kumaliza msimu na kama watashinda zote basi wataweza kumaliza msimu wakiwa na pointi 72, ambazo haziwafikii kabisa wenzao waliopo juu kama utabiri utakwenda kama ulivyotabiriwa kwamba Man United itamaliza ligi na pointi 82, Tottenham pointi 77, Liverpool pointi 76 na Chelsea pointi 76. Kwa maana hiyo, Arsenal hawataweza kumaliza Ligi Kuu England msimu huu ndani ya Top Four.
 
Mmmmhhhhh........kukatana maini huku....
Cheki hapa ratiba iliyobaki kwa timu ya arsenal na wanavyotabiriwa namna watakavyomaliza msimu kwa pointi watakazovuna.

ARSENAL

Msimamo: Nafasi ya Sita

Pointi: 48

Mechi: 30

Ratiba mechi zilizobaki

Arsenal v Stoke City

Arsenal v Southampton

Newcastle v Arsenal

Arsenal v West Ham

Man United v Arsenal

Arsenal v Burnley

Huddersfield v Arsenal

Arsenal inasubiri muujiza tu ndiyo utakaowafanya wamalize Ligi Kuu England msimu huu wakiwa ndani ya Top Four katika msimamo. Kwa sasa wamekusanya pointi 48 tu katika mechi 30 walizocheza. Kuifikia timu inayoshika nafasi ya nne kwa sasa, inahitaji kushinda mechi tano, huku wenzao hao walipo kwenye nafasi hiyo ya nne, Tottenham wasiwe wameshinda mechi yoyote wala kutoka sare. Arsenal imebakiza mechi nane kumaliza msimu na kama watashinda zote basi wataweza kumaliza msimu wakiwa na pointi 72, ambazo haziwafikii kabisa wenzao waliopo juu kama utabiri utakwenda kama ulivyotabiriwa kwamba Man United itamaliza ligi na pointi 82, Tottenham pointi 77, Liverpool pointi 76 na Chelsea pointi 76. Kwa maana hiyo, Arsenal hawataweza kumaliza Ligi Kuu England msimu huu ndani ya Top Four.
 
Cheki hapa ratiba iliyobaki kwa timu ya arsenal na wanavyotabiriwa namna watakavyomaliza msimu kwa pointi watakazovuna.

ARSENAL

Msimamo: Nafasi ya Sita

Pointi: 48

Mechi: 30

Ratiba mechi zilizobaki

Arsenal v Stoke City

Arsenal v Southampton

Newcastle v Arsenal

Arsenal v West Ham

Man United v Arsenal

Arsenal v Burnley

Huddersfield v Arsenal

Arsenal inasubiri muujiza tu ndiyo utakaowafanya wamalize Ligi Kuu England msimu huu wakiwa ndani ya Top Four katika msimamo. Kwa sasa wamekusanya pointi 48 tu katika mechi 30 walizocheza. Kuifikia timu inayoshika nafasi ya nne kwa sasa, inahitaji kushinda mechi tano, huku wenzao hao walipo kwenye nafasi hiyo ya nne, Tottenham wasiwe wameshinda mechi yoyote wala kutoka sare. Arsenal imebakiza mechi nane kumaliza msimu na kama watashinda zote basi wataweza kumaliza msimu wakiwa na pointi 72, ambazo haziwafikii kabisa wenzao waliopo juu kama utabiri utakwenda kama ulivyotabiriwa kwamba Man United itamaliza ligi na pointi 82, Tottenham pointi 77, Liverpool pointi 76 na Chelsea pointi 76. Kwa maana hiyo, Arsenal hawataweza kumaliza Ligi Kuu England msimu huu ndani ya Top Four.
Dah hapo ni kuwaombea njaa tuu adui zetu tayari chesii anaanza kupisha
 
Mshambuliaji Pierre-Emerick Aubameyang amesema hakuona tatizo kuacha nafasi ya kufunga bao la tatu, alitaka kuona nyota mwenzake Arsenal, Alexandre Lacazette akifunga penalty hiyo na kumrudishia kujiamini kwake.
Arsenal ilipata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Stoke juzi Jumapili, huku Aubameyang akiwa amefunga mabao mawili huku Lacazette akifunga bao la tatu baada ya kuingia akitokea benchi.

Aubameyang ameweka wazi kuwa aliacha nafasi hiyo ya kufunga hat-trick yake ya kwanza Arsenal kwa kuwa tayari ameshafanya hivyo mara mbaili akiwa na Borussia Dortmund msimu huu kabla ya uhamisho wake wa Januari pia alitaka kumsaidia Lacazette.
Mfaransa huyo ndiyo kwanza amerejea kutoka katika majeruhi na hii ni mechi yake ya kwanza tangu Februari 10 na alipokea zaidi hiyo kwa ukamilifu.

Tayari nilikuwa nimefunga mabao mawili najua ilikuwa ni vizuri kwake kufunga ili kumrudishia kujiamini kwake," alisema Aubameyang.
Makocha wengine hawaruhusu mtu mwingine kupiga penalty mbali ya yule aliyechaguliwa pekee, lakini ni tofauti kwa kocha wa Arsenal, Arsene Wenger ametoa nafasi kwa wachezaji kuonyesha uwezo wao.
 
We Numbisa una uhusiano wowote na Mwanaspoti???
Mshambuliaji Pierre-Emerick Aubameyang amesema hakuona tatizo kuacha nafasi ya kufunga bao la tatu, alitaka kuona nyota mwenzake Arsenal, Alexandre Lacazette akifunga penalty hiyo na kumrudishia kujiamini kwake.
Arsenal ilipata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Stoke juzi Jumapili, huku Aubameyang akiwa amefunga mabao mawili huku Lacazette akifunga bao la tatu baada ya kuingia akitokea benchi.

Aubameyang ameweka wazi kuwa aliacha nafasi hiyo ya kufunga hat-trick yake ya kwanza Arsenal kwa kuwa tayari ameshafanya hivyo mara mbaili akiwa na Borussia Dortmund msimu huu kabla ya uhamisho wake wa Januari pia alitaka kumsaidia Lacazette.
Mfaransa huyo ndiyo kwanza amerejea kutoka katika majeruhi na hii ni mechi yake ya kwanza tangu Februari 10 na alipokea zaidi hiyo kwa ukamilifu.

Tayari nilikuwa nimefunga mabao mawili najua ilikuwa ni vizuri kwake kufunga ili kumrudishia kujiamini kwake," alisema Aubameyang.
Makocha wengine hawaruhusu mtu mwingine kupiga penalty mbali ya yule aliyechaguliwa pekee, lakini ni tofauti kwa kocha wa Arsenal, Arsene Wenger ametoa nafasi kwa wachezaji kuonyesha uwezo wao.
 
Ahaa..Duh....nilitaka nishangae coz hiyo habari nimeiona kwenye gazeti la mwanaspoti mtandaoni jioni hii nikasema labda ww ni staff wao.....ila vzr nimezipenda updates zako...upo vzr..
Hapana nimecopy huko,sema huwa nasahau weka chanzo mwanaspoti
 
Back
Top Bottom