Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni comment kutoka kwa shabaki mshamba wa mpira....Your comment essentially undermines Arsenal to the lowest level possible.
Mshamba wa mpira ni wewe useless uliyekubali kuwa Fans wa useless club like Arsenal
Stupid stupid club in Everything
 
Tatizo la Arsenal huwa mnafurahia sana mkishinda vimechi vitatu. Mnasahau kuwa babu wenger ni jibu sugu linalohitaji kutumbuliwa. Andamaneni na nyie 26/04
 
Tetesi

Meneja wa Celtic Brendan Rodgers amahusishwa na kuchukua mahala pake Arsene Wenger huko Arsenal, lakini Rodgerd anasema anaishi kwa ndoto yake katika klabu hiyo ya Scottland. (ESPN)

Arsenal wako tayari kumuuza kiungo wa kati wa Wales Aaron Ramsey, 27, wakati klabu hiyo inataka kuzuia kumpoteza bila kunufaika msimu wa joto mwaka 2019.

Arsenal na Chelsea watang'ang'ana kupata huduma zake Carlo Ancelotti kama meneja mwisho wa msimu. (Sunday Express)
 
Kama vilabu huamua kuvunja mikataba ya makocha wao ili kunusulu credibility ya club zao,sijui kwanini hili halitokei Emirates licha ya machungu haya yanayotukuta mashabiki zao kipindi hiki.Kocha anaumri wa zaidi ya miaka 65 na ameshaonesha kushindwa lakini wamiliki wa timu hata hawana habari ya kumbadilisha ndio kwanza kocha anaitisha press na kusema hana mpango wa kuondoka mpaka amalize mkataba wake,yaani hata aibu hana kuwa anatuudhi mashabiki wake.U mri alionao Mzee Wenger angekuwa ni mtumishi wa Serikali angeshastaafu miaka 6 iliyopita sisi Arsenal bado tunaye tu utadhani makocha wameisha
 
rubaman msiwe mnakimbia jukwaa lenu mkuu

Ni upepo tuu huo, utapita na mtarudi kama zamani

In Wenger We Trust
Hasn't Wenger fired yet? When will be fired? Wenger out, Wenger out, Wenger out. Nilishasema nitarudi kikazi kazi akifukuzwa. Nitaendelea kuchungulia hadi hapo atakapoondoka.
 
Mnisamehe kwa kufukua kaburi hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…