ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,527
- 7,923
It's next to imposible.Nitaamini kwenye mpira kuna uchawi kama Arsenal msimu ujao atacheza Champions League
Ngoja wakusikie..walivyo wabishi!!!!Muda sio mrefu sana Arsenal haitakuwa inahesabika kama ni moja ya timu kubwa Uingereza
It's next to imposible.
Nawe pia usikumwema jamaa wamewakariri sana.Huu mwaka huu khaa,la pili ,sijui leo tunapigwa ngapi,usiku mwema
