Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo vipi mkuu? upo kimya sana tatizo nini? utakuwa ulianza kuishabikia hii timu mwaka 2004 ukajua kila msimu hutachezea vichapo

acha kujificha njoo tu vichapo kawaida mkuu.

leo nipo upande wako walau ufute machungu asikupige

hat trick pep.


Wameshakulaga HATI TIRIKI mbili Kutoka Manshiti Ndani Ya Kasizani hii! Kwahiyo Leo Wajitahidi Wasije Kulaga Ya Tatu.
 
Mnajidanganya na hizi rumors wenger anaondoka,yaani kama ww umeichoka arsenal ,bora ujipe likizo mpaka wenger ATAKAPOAMUA kuondoka mwenyewe,ndio urudi kuishabikia arsenal,lkn wenger haondoki leo wala kesho,WE JIPE LIKIZO kama una moyo mdogo.
 
wengerin
 

Attachments

  • IMG_20180301_221427_369.JPG
    IMG_20180301_221427_369.JPG
    34.9 KB · Views: 35
Kuna mijitu bado inaweka hela inabet eti Arsenal atashinda au atatoa droo...muhindi atapiga sana hela zenu mwaka huu kwa unazi wa kij.nga.
 
Kuna mijitu bado inaweka hela inabet eti Arsenal atashinda au atatoa droo...muhindi atapiga sana hela zenu mwaka huu kwa unazi wa kij.nga.
acha tu, tunaona kama ni usaliti kubet against...ina maana tukipata kipigo, itauma mara 2! 😡🙁😕😎
 
Naona leo mistari ya uwanja mmetumia rangi ya blue.
 
Arsenal ni kikundi cha wapika GONGO Timu mle hakuna tatizo lenu ni wabishi kuelewa
 
Back
Top Bottom