Uko sahihi ukifungwa na Totenham hupotezi point tatu. Kumbuka hiyo timu ya mkiani tangu ipate kocha mpya katika mechi nane imepoteza mchezo mmoja. Mabadiliko ya Kocha huenda yameleta mwelekeo chanya. Sanchez ameshindwa kuwasaidia???.Mchezo wa mpira siyo wa kuchekana ....Kuna jitu limefungwa 3 na timu ya mkiani linamcheka aliyefungwa 2 na totenham...dunia haiishi vituko..![]()

