Mbeky
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 672
- 520
Karibu Arsenal uku unaruhusiwa kucheza mpira sasa ile mentality ya kupaki treni usije nayo.
As Man Utd fan...as much as I hate to admit it ila naamini Mikh atafit perfectly kwenye aina ya mchezo wa Arsenal...na atashine upya...wasiwasi wangu tu ni kwamba huyu jamaa ni mvivu wa mazoezi na Wenger hana kasumba ya kuwa mkali kwa wachezaji...akiachwa akaendeleza tabia hii he mighty be an average player ila nampa 8/10 anataiboost massively Arsenal...hongereni sana watani

