Kama timu inapaki dakika tisini utawezaje kuona vipaji vya wachezaji. Ubora wa timu haupatikani kwa kupaki basi.
Moyes angeiweka man United sawa ila uharaka wa kupata Matokeo mazuri mapema wakati timu ilishajifia inahitaji kusukwa upya.
Alipokuwa anaingia fagason alidai apewe miaka mitatu aondoe utawala wa Liverpool uingereza na kweli alifanikiwa sasa wakati umefika naye ameondolewa.
Kwa soka la sasa uingerza haiwezi kuwa na mbabe kama nyuma itakuwa kupishana mlangoni tu timu zote ziko imara.
Haijalishi timu inafungwa au inashinda mimi nahitaji kuona mpira wa burudani kama unaochezwa na barca na arsenal. Siku timu hizi zikiacha kucheza mpira huo nitasimama kuona mpira.