Tetesi
Ajenti wa Olivier Giroud atasafiri kwenda London wiki hii kwa mazungumzo kuhusu hatma ya mshambuliaji huyo wa Arsenal wa miaka 30. (Mirror)
hahqhahaha, wako hoi kabisaa...Kumbe nao huwa wanafungwa![]()
![]()
![]()
![]()
True they are no longer a threatening team. At any time t wanaweza fungika....Man United 2burnly2 .Nilitaka haya Mashetani yakae ila hata sasa yamefyata mkia bila hata maombi.
Morinyo huwa anavizia tu kufunga hana mpira wowote wa starehe. Game ya arsenal alipaki basi akalala na juu na ninaiona Man United nje ya Top four kwa kuwa haiwezi kumaintain matokeo yake huku wakihitaji mafanikio makubwa mapema.To be fair hivi Lukaku si bora hata super sub wetu Giroud ....
Am not so sure, Lukaku mzuri sana, tatizo ni formation ya timu, kucheza peke yako mbele kazi, na labda anayecheza naye hawa click..To be fair hivi Lukaku si bora hata super sub wetu Giroud ....
True, tushawajuwa, domo kaya amezidi kupenda kuwa defensive, ina mcost, anawaharabia timu yao maskini..True they are no longer a threatening team. At any time t wanaweza fungika....