Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ila tukiwachezea kama Man yuu Leo itakuwa soka safi na magoli maana Hawa huwa wanafunguka kuliko wale wapak basi

Wapaki basi
  • Wana point nyingi kuliko wewe
  • Wana magoli mengi ya kufunga mengi kuliko wewe
Hongera kwa kupossess
 
our lineup against Liverpool
FB_IMG_1513970805664.jpg
 
Niles ana balaa leo na vile viberenge duh ngoja nimuone kwanza.
duh...!acha tu aisee,,,ngoja tuone,,me niljua kati atapga mustaf na kocienly then monreal na bellerin ndo wapge pemben kumbe mzee kaamua kukomaa na uyu dogo tu..
 
duh...!acha tu aisee,,,ngoja tuone,,me niljua kati atapga mustaf na kocienly then monreal na bellerin ndo wapge pemben kumbe mzee kaamua kukomaa na uyu dogo tu..
Duuhh!! Babu katika ubora wake
Hii c mechi ya kutest makinda
 
Hii timu presha tupu, haieleweki kama SAA mbovu, sasa hii beki ya leo,yangu macho ,Wenger utatuua.
 
Back
Top Bottom