Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tetesi
Mchezaji anayelengwa na Arsenal na Everton Steven N'Zonzi amedaiwa kuonekana katika uwanja wa ndege wa Gatwick.
Mchezaji huyo wa zamani wa Stoke na Blackburn 29, ameambia Sevilla kwamba anataka kuondoka.. (Sun)
 
Tetesi
Arsenal na Manchester City zinamkagua beki wa Burnley James Tarkowski, 25, kwa lengo la kumvutia katika dirisha la uhamisho la mwezi ujao.(Times - subscription required)
 
Tetesi
Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger anasema kuwa kuna uwezekano mkubwa wa asilimia 90 kwamba hataongeza mchezaji mpya katika kikosi chake mnamo mwezi Januari. (BeInSports - via London Evening Standard)
 
Tetesi
Arsenal na Liverpool wako katika mazungumzo ya kutaka kumsajili kiungo wa kati wa Real Madrid Dani Ceballos, 21. (Diario Gol - via Daily Star)
 
Tetesi
Sanchez atasalia Arsenal mwisho wa msimu na baadaye ajiunge na Manchester City katika uhamisho wa bure , mpango ambao utampatia kipato cha £400,000 kwa wiki. (Daily Mirror)
 
Tetesi
Mshambuliaji wa Arsenal Alexis Sanchez, 29, anakaribia kuhamia Paris St-Germain baada ya ajenti wake kuelekea katika mji mkuu wa Ufaransa kwa mazungumzo(Canal Plus - via Metro)
 
Tutafuta uteja tumnywe supu jogoo kabla ya Christmas au tutaendelea kuwa mdebwedo mbele ya Jogoo?
 
Tutafuta uteja tumnywe supu jogoo kabla ya Christmas au tutaendelea kuwa mdebwedo mbele ya Jogoo?

Recently hawa Liva wamegundua panic button yetu basi wakibonyeza tu unashangaa tunapoteana tu tukija kushtuka tumepigwa 3+ ivi duh.
 
Recently hawa Liva wamegundua panic button yetu basi wakibonyeza tu unashangaa tunapoteana tu tukija kushtuka tumepigwa 3+ ivi duh.
Ila tukiwachezea kama Man yuu Leo itakuwa soka safi na magoli maana Hawa huwa wanafunguka kuliko wale wapak basi
 
Screenshot_2017-12-22-17-45-02.png
Inavyoelekea tutacheza hivi
Vp upo vzr huu mfumo?
Mi naona upo poa
 
Tetesi
Arsenal wanatarajia kumsajili kiungo mshambuliaji wa Barcelona Jose Arnaiz kwa ada ya Paundi milioni 20. (Marca)
 
Back
Top Bottom