bila kusahau iwobi..!Yaani tulitakiwa tuwe tumefungwa 3 mpaka sas...
Xhaka bomu, Sanchez bomu, Bellerin bomu..Hovyo kabisa..
Hivi huyu Sanchez Arsenal wanamng'ang'ania wa nini?
bila kusahau iwobi..!
Uwezo hauna umri.,.let him show what he gotTatizo la Iwobi anataka kufanya mambo mengi wakati hajafika uwezo huo.
Nikionaga tu obi yupo huwa sina furaha na mpirabila kusahau iwobi..!
Pairing ya Wilshere na Xhaka haifanyi kazi, Sanchez na Iwobi just poor! Ozil peke yake hawezi kumlisha Lacazete no wonder haonekani kabisa.Yaani tulitakiwa tuwe tumefungwa 3 mpaka sas...
Xhaka bomu, Sanchez bomu, Bellerin bomu..Hovyo kabisa..
Uwezo hauna umri.,.let him show what he got
Got you broSijazungumzia umri ila ishu ni uwezo,yaani anataka kufanya vitu vingi kwa wakati mmoja akitulia hua anafanya poa kama game iliyopita.
iwobi bomu....sijui anampanga wa nini!Yaani tulitakiwa tuwe tumefungwa 3 mpaka sas...
Xhaka bomu, Sanchez bomu, Bellerin bomu..Hovyo kabisa..
Xhaka anatakiwa abaki chini, ili jack apandishe mashambuliziPairing ya Wilshere na Xhaka haifanyi kazi, Sanchez na Iwobi just poor! Ozil peke yake hawezi kumlisha Lacazete no wonder haonekani kabisa.
Liverpool wangekuwa clinical sasa hivi ingekuwa at least 0-3

️