Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Gunners ongezeni la pili ninywe kahawa
Ngoja niagize castle light bariiiiiidi hapa recreation ukonga magereza....huku nasikiliza Mkote Band...FT
Arsenal 1-0 Newcastle

Ngoja niagize castle light bariiiiiidi hapa recreation ukonga magereza....huku nasikiliza Mkote Band...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Kijasho cha wasiwasi kimetutoka, kwanini Wenger kaanza na hakumbadilisha A Sanchez hata sielewi, lijamaa laondoka January, kwanini anapangwa?! kwani atauzwa?!Ngoja niagize castle light bariiiiiidi hapa recreation ukonga magereza....huku nasikiliza Mkote Band...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu sasa atapangwa nani? Unataka turudi kulekule tena?Kijasho cha wasiwasi kimetutoka, kwanini Wenger kaanza na hakumbadilisha A Sanchez hata sielewi, lijamaa laondoka January, kwanini anapangwa?! kwani atauzwa?!
AW kweli ana maudhi mno..
hahahaha...Mkuu sasa atapangwa nani? Unataka turudi kulekule tena?
Sanchez ni muhimu apangwe kwa sasa
Kama ataondoka January au hata yule mwarabu naye akisepa,Wenger anafaa atafute majembe mengine ya kazi January
Akifanya hivyo tutaendelea kufuta kahawa na bia ka sahivi
Haya manjemba ni mabingwaMan City wanaua watani wa jadi...
They too too good...Unbelievable..
Ubeatable, Invisibles, total classy...
Wanatabiria kama nane!Huenda Gunners ikapoteza wachezaji watatu msimu ujao wa joyo wakati bosi Arsene Wenger anapojitayarisha kwa mabadiliko yake makubwa. (Daily Mirror)
Mabadiliko yapi hayo?Huenda Gunners ikapoteza wachezaji watatu msimu ujao wa joyo wakati bosi Arsene Wenger anapojitayarisha kwa mabadiliko yake makubwa. (Daily Mirror)
Mabadiliko yapi hayo?
Tujuze
Safi sanaTetesi
Mshambuliaji wa Arsenal Alexis Sanchez, 28, amekataa mshahara wa £400,000 kila wiki kutoka kwa klabu moja ya China kwa sababu anataka sana kuhamia Manchester City. (Sun)