Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Siongei na mashabiki wa timu masikini.Timu isiyokuwa na mwelekeo kuanzia kwa mabosi hadi mashabiki waliopinda
Timu hata kombe haibebi vikijitahidi sana vinafika fainali vinakung'utwa
Tokea lini cjui hata carabao havina
Vinakalishwaga mpaka uropa
Havina hela ya kusajili wachezaji wa maana ndo maana vinasajili wachezaji wa kiafrika sana na vinategeshea wachezaji wa bure
Rekodi ya usajili mkubwa paundi 35m hivi na nyie mnategemea hata kombe la kuku
Pelekeni mkungu wa ndizi!!!!!??!!!!!!
Mkuu ulishawahi kuchukua champions league?
 
Kwani nkuulize, alichokifanya De gea ni wajibu wake au sio wajibu wake? Ukijibu hili ndio utajua kuwa kila mchezaji ana wajibu wake, anapo perform vizuri unamsifia ili apate motivation, lakini ni wajibu wake kulinda goli in any way.

Sasa Man U akiondoka De gea unasema itakuwa jamvi la wageni, haya Arsenal jamvi la kina nani? Huwe ku compare a team that is fighting to win the tittle to a team that is fighting just to get a 4th place for uefa qualifiers.
Eti title!!!! Title unaijua ww
Ucheze vile jana utake title
Huna hata aibu a team that needs a tittle possesses 28% in the whole match 90'
4 shots on target the whole game with its black striker calling himself the most expensive striker in the epl.He is the last among the top six strikers.
A team with a midfielder that plays wrestling in the pitch instead of football
Are you capable of competing with teams like mancity with that worst style of playing
Guardiola can't compete with fools!!!!??!!!!!
 
Eti title!!!! Title unaijua ww
Ucheze vile jana utake title
Huna hata aibu a team that needs a tittle possesses 28% in the whole match 90'
4 shots on target the whole game with its black striker calling himself the most expensive striker in the epl.He is the last among the top six strikers.
A team with a midfielder that plays wrestling in the pitch instead of football
Are you capable of competing with teams like mancity with that worst style of playing
Guardiola can't compete with fools!!!!??!!!!!
Deluded Arsenal fan
 
Mimi nilifikiri Naongea Na Mshabiki Wa Mpira! Kumbe NamQuote Mshabiki Maandazi Zero brain...!!!!!

Eti timu Maskini!!! Hebu Nitajie Timu 10 tajiri Zaidi Duniani halafu uniambie Liverpool ni Yangapi....!!!

Halafu Taja Vikosi Vitano 5 bora Vyenye thamani EPL uone Kama Arsenal Utanifika Hata Nusu ya Thamani Ya Wachezaji Wa Liverpool...

Arsenal Nzima Hamuna Mchezaji Unayeweza Muuza £60m wakati Ndani Ya Liverpool hata Yule average Firmino huwezi uziwa.

Na Ukija Kwenye Mishahara Ndiyo Kabisa Liverpool Hamtuingii Kwa Mishahara Yenu Ya Hela ya Karanga.

Kabla Ya Kuongea Kwanza iangalie Timu Yako Kwanini inakimbiwa na Wachezaji???

OK! sisi hatuna Makombe! Je Arsenal Ndani Ya Miaka 10 Kabeba Makombe Mangapi?
Hivi we jamaa umeokotwa ukaletwa kwenye hii thread eti?
Naona unaongea kama linavyocheza lile litegemeo lenu lovren
Sikia sasa
Anayeongoza pale liva coutinho analipwa 200,000 sawa ngoja tuje kwetu sisi ozil na Sanchez wanakula 140,000 kila mmoja ndo wanaongoza
Tuanze-:
Arsenal
Cech 100,000
Koscielny 75,000
Xhaka 90,000
Lacazette 100,000
Giroud 100,000
Walcot 110,000
Bellerin 100,000
Kolasinac 119,500
Mustafi 90,000
Wilshere 90,000

Liverpool
Henderson 100,000
Salah 120,000
Firmino 100,000
Mane 90,000
Mignolet 60,000
Karius 25,000
Matip 70,000
Beki bora lovren 65000
Klanavan 55,000
Clyne 70,000
Can 55000
Aisee cjui hii timu inataka kombe cjui beseni
Uwanja wenyewe kichekesho wanawazuga tu mishabiki kama hii inayovamia thread zisizowahusu kwa kujenga vijukwaa
Cmjenge uwanja mpya kama spurs vunjavunja hicho kichuguu mtengeneze uwanja kama hamna pesa njooni tuwakope
Ila nawashauri msivunje sahivi endeleeni kupambana na hali zenu coz mtakosa hata mtonyo wa kumlipa beki bora Lovren Matembele
 
6903a8d571a273ebb3e0dd5d2026a726.jpg
 
Mkuu ulishawahi kuchukua champions league?
Champions league!!!!??!!!!! Sikia mwingine huyu
Nottingham forest ana uefa mbili sahivi yuko championship kwa wachovu
Ac Milan ana champions league saba!!!??!!!! Mlitesa sana miaka ile ww na yy ila sahivi wote hoi bin taaban!!!!!!!
Kwanza ww champions league ilikusaidia nn bora yangu mm nilifika fainali nikatengeneza ka pitch kangu ka Emirates cio ww uliye na uefa tano halafu unachezea kwenye kichuguu
Ac Milan anaanza kuonesha mwanga coz anaanza kununua wachezaji wa maana ana wamiliki wasia sahivi
Ww endelea kudidimia halafu unajiongelesha uefa uefa hayo ma historia tu
Mtabaki hivyohivyo pumbav zenu!!!!????!!!!!!!
 
Champions league!!!!??!!!!! Sikia mwingine huyu
Nottingham forest ana uefa mbili sahivi yuko championship kwa wachovu
Ac Milan ana champions league saba!!!??!!!! Mlitesa sana miaka ile ww na yy ila sahivi wote hoi bin taaban!!!!!!!
Kwanza ww champions league ilikusaidia nn bora yangu mm nilifika fainali nikatengeneza ka pitch kangu ka Emirates cio ww uliye na uefa tano halafu unachezea kwenye kichuguu
Ac Milan anaanza kuonesha mwanga coz anaanza kununua wachezaji wa maana ana wamiliki wasia sahivi
Ww endelea kudidimia halafu unajiongelesha uefa uefa hayo ma historia tu
Mtabaki hivyohivyo pumbav zenu!!!!????!!!!!!!
Ndio maana nilikupiga nne, kumbe akili zenyewe ndio hizi
 
Mashabiki wa mpira tuna shida for sure....tunatukanana mpaka matusi ya nguoni....usikute muda huu Pogba, Coutinho na Sanchez wanapata mvinyo pamoja kwa raha zao ....huku watu presha juu....
 
Ndio maana nilikupiga nne, kumbe akili zenyewe ndio hizi
Ulinipiga nne ww wanaokuguguma nne na spurs na tano na man city
Ww ndiye bingwa wa kupewa visago vikubwa
Unaenda kushiriki champions league first half una magoli matatu
Second half unarudishiwa yote hivi hiyo ni timu au kongoro la ng'ombe
Tena ngoja everton karudi ngoja akusagie kwenye hicho kichuguu next week nyambaf!!!!!!!!!
Mnalingia ka nguvu ka soda sahivi
Naona sahivi mmesahau kumbwatukia klopp na huyo lovren ukichanganya na bilinganya Henderson
Ka vp kanyeni uduvye kudadeki zenu!!!!!!!!!!!!,???????!!!!!!!!(()!!!!!!!
 
Mashabiki wa mpira tuna shida for sure....tunatukanana mpaka matusi ya nguoni....usikute muda huu Pogba, Coutinho na Sanchez wanapata mvinyo pamoja kwa raha zao ....huku watu presha juu....
Matusi ya nguoni!!!!!!!!!!!!
Sijakusoma
 
Mkuu Mimi nilipomuona tu Kuwa Yeye ni Brainless Fanboy nimeamua Kumpotezea...
Pumbavu brainless mwenyewe
Huna hoja jifunike shuka ulale usubiri kunguni wakudonye
Sema nimefika mwisho akili yangu ukomo wake ni hapo
Usilazimishe ukagutuka upo milembe
Bashite mkubwa!!!????!!!!!!!!!!!!!
 
Roberto 20 Ingawa ni mwana Arsenal mwenzangu- tunaweza tofautiana labda wewe ni zaidi ya Mpenzi wa the Gunners lakini una lugha ya kuudhi ambayo haileti afya kwenye mjadala wa kimchezo....Hongera kuwa mpenzi wa Arsenal though....
 
Roberto 20 Ingawa ni mwana Arsenal mwenzangu- tunaweza tofautiana labda wewe ni zaidi ya Mpenzi wa the Gunners lakini una lugha ya kuudhi ambayo haileti afya kwenye mjadala wa kimchezo....Hongera kuwa mpenzi wa Arsenal though....
Mimi nawaambiaga hawa wavamizi wa thread za watu
Wakuingiaingia tu kusipowahusu wanaudhi sana
So sorry kama nimekuudhi
 
Mnakuwa mnanichekesha sana, tuna kipa mwengine anaitwa Sergio, na huyo naye vipi? Wakati unazungumzia mchango wa goal keeper, usisahau na ule wa washambualiaji. Kumbuka kuwa goalkeepr section yake ni defence, sikatai kama amefanya kazi nzuri, bali nasema ule ni wajibu wake, ni vizuri kumpa hongera kwa kutimiza wajibu wake.

Unatoa mfano wa degea wa 2012-2014 kwani kwenye miaka hio ulioitaja mlitufunga mechi ngapi?


Unasemaje Barcelona timu ilibalance wakati umeshatwambia valdes alikuwa mbovu 😀 😀 😀 kubalance kwa timu ikiwa kila mtu anatekeleza majukumu yake. Just for your information, Tangu Peter, Barthez, Van, makipa wetu wanakuwa wazuri wa kutekeleza majukumu yao. Unlike Arsenal, ambao sio kipa tu, the whole team doesnt know what they want.... Sawa Lukaku hana anchokifanya zaidi ya kuruka ruka mpaka sasa ana goli 8 na assit 4, sasa lacazzeti ambae anacheza mpira ana goli 8 na assist 1.... sasa kwanini usiseme wanaruka ruka wote....Sanchez mchezaji ana mangapi?

Wenger na wachezaji wake wamekwisha.... vipi unacheza eti kwa kupoint nafasi ya nne?

Whats your club future? 😀

Hapo kwenye blue nimesoma zaidi ya mara mbili lakini sijapata correlation yoyote na kile nilichokiandika kwenye comment yangu, ni dhairi kwamba haujanielewa pamoja na maelezo rahisi niliyoyatoa.

Nimesema degea wa 2012-2014 huku nikumuhusisha na mechi ya jana kwa maana kwamba degea wa miaka hiyo alikuwa ni goli kipa mbovu kabisa kiasi kwamba kwa hali ilivyokuwa juzi dhidi ya arsenal kama angekuwa bado yuko kwenye kiwango kibovu kiasi kile basi mngeoga mvua ya magoli na wala sijasema vile kwa kujinasibu kwamba tuliwafunga, sijui umeshindwa kunielewa nini hapa.

Hapo kwenye mfano wa Barcelona labda ningekwambia kuwa valdes alikuwa ni average goallie naona hilo neno "mbovu" ndio limekuchanganya hadi kupoteza mantiki nzima ya mfano wangu, sio kesi lakini labda nikueleweshe zaidi maana ya timu kubalance kupitia huo huo mfano wa Barcelona, barcelona kuonesha kwamba timu yao ilikuwa imebalance ni kwamba ilikuwa huwezi kuona wakipigiwa shot on target 14, ulikuwa huwezi kuona wakifanyiwa attempts zaidi ya 30 golini kwao, ilikuwa huwezi kuona strikers wake wakizobaa tu bila kugusa mpira kwa dakika tano nzima, ilikuwa huwezi kuona wakipigiwa kona 15 halafu wenyewe wana 1, ilikuwa huwezi kuona kipa wao akigusa mpira mara nyingi kuliko hata mabeki na viungo ndani ya dakika 10. Kama kwenye timu yako haya yote yanatokea basi haijabalance na kama haibalance basi ina mapungufu makubwa sana.

Lukaku kuwa kuwa na hizo goli hakuondoi ukweli wa kwamba ana ruka ruka tu muda mwingi na hana lolote, anaweza akawa na hizo goli na assist nyingi hata kuwazidi striker wote wa arsenal kwa kuzifunga average teams, hivyo ni average player kwa sababu anaweza Ku shine dhidi ya wapinzani dhaifu.

You may direct to arsenal board your question.
 
Lizarazu ukisema Pogba akili kisoda nguvu nyingi akili kisoda unanifanya nijiulize uwezo wako kwenye mpira uko kiwango gani.
Kwa mechi ya jana tu magoli mawili yeye ndio katoa ASSISTS unaweza kuangalia tena au muulize Kolschieny alichofanywa.

Man Utd bila Pogba sio sawa na Man United ikiwa na Pogba uwanjani. Mtu yeyote anaejua mpira hawezi kukosa kuona uwezo mkubwa wa Pogba labda kama una chuki binafsi.

Poleni nasikia mlikuwa hamjafungwa mechi 12 za EPL hapo Emirates anzeni tena nafasi ya nne bado ipo wazi ila ubingwa sahauni na hatujafika hata Januari.
Najua una mahaba sana na Paul Pogba na ilikuwa si rahisi kuiacha comment yangu ipite bila kutia neno... Anyway labda kauli yangu imekaa kishabiki sana, ngoja niseme pogba nguvu nyingi akili kidogo na ndio aina ya uchezaji wake alionao, mara kadhaa umekuwa ukisaidia ikiwa ni pamoja na mechi ya juzi.. Lakini pia tumeona mara nyingi mipira mingi inapotea ikifika kwake kumbuka yeye ndio morinho anamtegemea kusogeza mipira ifike kwenye box, angalia hata juzi ile red card alivyoipata ilikuwa ni baada ya kuchelewa kuchukua mpira akalazimika kucheza faulo ya kipuuzi kumzuia adui. Huyo huyo pogba mfuatilie kwenye game za Liverpool kama huwa anafanya la maana sana zaidi ya kula njano tu.
 
Nimesema degea wa 2012-2014 huku nikumuhusisha na mechi ya jana kwa maana kwamba degea wa miaka hiyo alikuwa ni goli kipa mbovu kabisa kiasi kwamba kwa hali ilivyokuwa juzi dhidi ya arsenal kama angekuwa bado yuko kwenye kiwango kibovu kiasi kile basi mngeoga mvua ya magoli na wala sijasema vile kwa kujinasibu kwamba tuliwafunga, sijui umeshindwa kunielewa nini hapa.
Kwa sababu unatoa mifano isiokuwa fair. Ukimfananisha de gea wa 2012, basi tuchukue na arsenal ya 2012 na Man utd ya 2012. Kwa mfano wako unaweza kusema "ingekuwa golini hakai goalkeeper basi tungewafunga mengi". The same arsenal ambayo imepiga 14 shots, kona 15, possession 100% was not able to win the match against an Imbalance team, au sio?

The same imbalanced team scored 3 goals against a balanced team..... When was Man utd balanced according to you?

Tatizo you dissing Lukaku, kwanini mchezaji anaerukaruka anaweza kuwa na magoli mengi dhidi ya vibonde kuliko yule mchezaji hasa kama Lacazette anashindwa kuwa na magoli mengi?

Arsenal lack strategy..... ebu nambie results of your beautiful games in 10 years, what it has gotten you? ball possession may be, but in terms of winning? you are trailing fighting for that 4th spot as "Usual"
 
Back
Top Bottom