I am so interested to know which of those glories you had that we dont have or nobody has.... dont tell you also refering to 2004 unbeaten seasons 😀 is that all you got?Naona una matatizo makubwa sana ya comprehension
Halafu pia umekomaa kuongelea old glories utafikiri labda arsenal haina mafanikio yoyote hivi karibuni unashangaza jamaa. Kwanza kwanini unauliza mafanikio ya arsenal kwa miaka 10 iliyopita? Kwanini isiwe kwa miaka 20 au zaidi iliyopita huko?! Kwa taarifa yako kama ni kuongelea old glories basi arsenal inayo ya kujivunia ambayo hata timu yako ya man u haijawahi ya kuyaguasa wala haitokaa iyaguse mpaka dunia inafika mwisho.
Na nyie ni mafanikio gani ya kutisha hasa mlioyonayo kwa miaka minne iliyopita? Kama ni EPL drought basi hata nyie mko mbioni au ulioni hilo!? Huu msimu wa nne na nyie mkiwa mnasindikiza tu.
Mmeishia kusajiri wachezaji kwa gharama kubwa na bado timu incheza mpira MBOVU eti ilimradi magoli kwa hiyo msipofunga hakuna cha maana mnacho furahia..!! Arsenal hana strategy kwa mujibu wako lakini angalau hachezi kama FC MAKAMBAKO.
Well four years kwa sasa sio miaka mingi, you know why? because its no longer a 3 team race to top 3, its a race for 6 teams now. na ndio mana kwenye hio miaka minne unayozungumzia, kombe limekuwa linazunguka miji tofauti.
Tuzungumzie 20 years of Arsenal? Haya tuzungumze miaka 20 kwa ujumla, sio kumi tuone what has changed.
Tangu ianze kuitwa English premier league, Arsenal ameshinda mara tatu tu na hakuna hata moja ambayo ilikuwa back to back. Sasa vipi? miaka 20+ hio.
So ikiwa winning is not important but entertaining is important, nafikiri yale mabango ya THANKS ARSEN WENGER FOR 20 YEARS BUT ITS TIME TO GO tusingeyaona, wala Usmanov asingetaka kununua shares ili apate kuwa na full control ya club...... au I am proud of Arsenal for playing such an entertaining heartbreaking football that has proven to be unfruitful