Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona una matatizo makubwa sana ya comprehension

Halafu pia umekomaa kuongelea old glories utafikiri labda arsenal haina mafanikio yoyote hivi karibuni unashangaza jamaa. Kwanza kwanini unauliza mafanikio ya arsenal kwa miaka 10 iliyopita? Kwanini isiwe kwa miaka 20 au zaidi iliyopita huko?! Kwa taarifa yako kama ni kuongelea old glories basi arsenal inayo ya kujivunia ambayo hata timu yako ya man u haijawahi ya kuyaguasa wala haitokaa iyaguse mpaka dunia inafika mwisho.

Na nyie ni mafanikio gani ya kutisha hasa mlioyonayo kwa miaka minne iliyopita? Kama ni EPL drought basi hata nyie mko mbioni au ulioni hilo!? Huu msimu wa nne na nyie mkiwa mnasindikiza tu.

Mmeishia kusajiri wachezaji kwa gharama kubwa na bado timu incheza mpira MBOVU eti ilimradi magoli kwa hiyo msipofunga hakuna cha maana mnacho furahia..!! Arsenal hana strategy kwa mujibu wako lakini angalau hachezi kama FC MAKAMBAKO.
I am so interested to know which of those glories you had that we dont have or nobody has.... dont tell you also refering to 2004 unbeaten seasons 😀 is that all you got?

Well four years kwa sasa sio miaka mingi, you know why? because its no longer a 3 team race to top 3, its a race for 6 teams now. na ndio mana kwenye hio miaka minne unayozungumzia, kombe limekuwa linazunguka miji tofauti.

Tuzungumzie 20 years of Arsenal? Haya tuzungumze miaka 20 kwa ujumla, sio kumi tuone what has changed.

Tangu ianze kuitwa English premier league, Arsenal ameshinda mara tatu tu na hakuna hata moja ambayo ilikuwa back to back. Sasa vipi? miaka 20+ hio.

So ikiwa winning is not important but entertaining is important, nafikiri yale mabango ya THANKS ARSEN WENGER FOR 20 YEARS BUT ITS TIME TO GO tusingeyaona, wala Usmanov asingetaka kununua shares ili apate kuwa na full control ya club...... au I am proud of Arsenal for playing such an entertaining heartbreaking football that has proven to be unfruitful
 
Yeah Europa has weak teams, you lost to FC Koln (did i write it correctly)....

What abilities did you want to know? what are those abilities that you think Arsenal who has been knocked out of last 16 in Champions league for years now has over Man utd?

Did i failed early in EPL last season? Or did Mourinho played it brilliantly? We sacrificed top 3 position for a Europa title which was more thinkable than top 3. Can you REMIND ME WHAT POSIION YOU FINISHED LAST SEASON please?

I told you about Man utd earning more than Arsenal because you asked if Europa cup is even a cup... Europa Cup is more than FA cup you won.

So tell me, what process did you use, to say last season is what we reflect inorder to judge Man utd? what exactly? why not the year before last season? it hurts you alot when you remember that smash you were given.... 8 goals as if you guys were standing....

Yes Ronaldo wom FIFA BEST player because of last year, So are you telling 2017/2018 EPL title will be given because of the team that performed better last year? So now 2017 Man city has the best perfomance, unbeaten until now, but if next year he starts to screw it, and drop out of first position, the EPL will still be given to Man city, because in 2017 they went unbeaten? You really dont know to make comparisons do you? I mean you comparing Best Player award to a League? Are you even a football fan?
Hili jamaa halielewi lugha eti? Let me use Swahili
Kuhusu position niliyomaliza last season nilimaliza juu ya mashushushu mekundu
Hivi ww jamaa zako zinachaji kweli
Umekataa kuhusu kufananisha players na timu ngoja nikuulize swali dogo
Klabu bingwa ulaya sahivi ni ipi?
Jibu ni jepesi sana Real Madrid
Kwa nn? Kwa sababu walichukua ubingwa last season
Mwangalie sahivi Madrid n wangapi la liga mwangalie ucl anasuuzwa nyingi na spurs
Bado tu Tutaendelea kusema Madrid are champions hata wakiwa wamwisho coz walibeba last season
Sasa cjui mancity bingwa kisa hajafungwa nani kasema hivyo? Wewe jamaa bangi zimeshakusuuza sio bure
Man city kafanya nn last season
Anafanya vzr ila bado hajaprove mpaka awe bingwa this season ndo tutamuita champion next season
Mijamaa mingine cjui imekunywa wapi kwanza improve your language skills English sio chai
Kenge ww!!!!!!????!!!!!!
 
Hili jamaa halielewi lugha eti? Let me use Swahili
Kuhusu position niliyomaliza last season nilimaliza juu ya mashushushu mekundu
Hivi ww jamaa zako zinachaji kweli
Umekataa kuhusu kufananisha players na timu ngoja nikuulize swali dogo
Klabu bingwa ulaya sahivi ni ipi?
Jibu ni jepesi sana Real Madrid
Kwa nn? Kwa sababu walichukua ubingwa last season
Mwangalie sahivi Madrid n wangapi la liga mwangalie ucl anasuuzwa nyingi na spurs
Bado tu Tutaendelea kusema Madrid are champions hata wakiwa wamwisho coz walibeba last season
Sasa cjui mancity bingwa kisa hajafungwa nani kasema hivyo? Wewe jamaa bangi zimeshakusuuza sio bure
Man city kafanya nn last season
Anafanya vzr ila bado hajaprove mpaka awe bingwa this season ndo tutamuita champion next season
Mijamaa mingine cjui imekunywa wapi kwanza improve your language skills English sio chai
Kenge ww!!!!!!????!!!!!!
Labda wewe ndio hujui lugha, wewe unasema eti prfomance ya mwaka jana ya Man utd ndio kigezo cha kuangalia mwaka huu. Lakini huja explain kivipi? wakati mwaka jana perfomance ni tofauti na mwaka huu.

Kwa akili zako chache ukafananisha FIFA best player kuwa, ame perform mwaka jana vizuri ndio akapewa kiatu, hujaona tu kama umeboronga hapa? perfomance yake ya mwaka jana ndio imempa kiatu, MWAKA JANA narudi kwa herufi kubwa. Katika ligi, perfomance yako ya mwaka jana haikupi ubingwa wa mwaka huu. ingekuwa ivo basi bingwa atapewa Chelsea mana alikuwa na perfomance nzuri mwaka jana.

Eti umemaliza juu ya mashushu mekundu ndio cha kujisifia, ama kweli nazi ni nazi. Faida gani umepata sasa kumaliza hio nafasi juu? both teams zimetoka out of top 4 halafu wajisifia kunizidi kwa one position? msimu ambao Mann utd imepata mafanikio mengi kuliko Arsenal. Unaringia nini hasa over man utd? we are in worse shape and still we hit you with 3 goals at Emirates.

I will improve my english if you show me my mistakes, please fell free to do so.....i am waiting

Umechezea miba mitatu kwa mashushu mekundu, u have got no era ya kuringia, una ukame wa EPL title for 13 years.... Just shut up... kwa sababu wakunitambia saiv ni Chelsea na Man city, these teams are fighting for dominance, na mpaka sasa bado hazijafanikiwa kwa asilimia 100....Arsenal imekuwa sio threat kabisa tena kwa Man utd. Ni just ordinary team kama leeds tu...

Nambie this season you are fighting for which place? 5th again?

By the way nasubiri na wewe uchukue hio Europa upate kurudi Champions League utolewe kwenye last 16 round as usual.
 
Yaani kumbe muda wote huo natumia nguvu zangu kubishana na mtoto wa juzi hapa?????

Umeanza kuangalia mpira lini wewe?

Unaifahamu invincible side wewe ambayo hata Ferguson pamoja na kikosi chake cha gharama cha akina Van nesteroy,stam,Ferdinand,Tedy,bathez aliishia kuambulia droo tu.!?

Eti era ambayo arsenal ilitesa kma man utd na Liverpool.. Nyie ndio washabiki wa 2008 ambao hamjui mengi yaliyokuwa yanajiri huko nyuma.
😀 😀 😀 tumeambulia droo, we umeambulia nini na invincible yako hapo trafford? hamkufungwa msimu mzima but almost half of it mlidroo....Unatwambia nini? the next season mkawa chapwa.....

Nasubiri unambie ulichoshinda ambacho hatuji kushinda ng'o

Mi mtoto wa juzi lakini nnachojua mie tangu ligi ya uingereza ianze, arsenal wamechukua back to back title mara 1 tu, tena it was damn long time ago.... it never happened again... I stand to be corrected from you old man....

Kuna kombe nakubali kuwa Man utd hatoweza kuchukua, lile emirates cup mliloanzisha ili kabati la makombe lisikae tupu 😀 ama lile kwa timu mnazochagua kushirikisha kweli hatuwezi kushinda.....

Unayo medali ya world club cup?
 
Mabishano yenu yako kimipasho zaidi kuliko uhalisia wa mambo....mbaya zaidi matusi yamekuwa sehemu ya mjadala hivyo kuharibu baadhi ya facts zenu...
 
Labda wewe ndio hujui lugha, wewe unasema eti prfomance ya mwaka jana ya Man utd ndio kigezo cha kuangalia mwaka huu. Lakini huja explain kivipi? wakati mwaka jana perfomance ni tofauti na mwaka huu.

Kwa akili zako chache ukafananisha FIFA best player kuwa, ame perform mwaka jana vizuri ndio akapewa kiatu, hujaona tu kama umeboronga hapa? perfomance yake ya mwaka jana ndio imempa kiatu, MWAKA JANA narudi kwa herufi kubwa. Katika ligi, perfomance yako ya mwaka jana haikupi ubingwa wa mwaka huu. ingekuwa ivo basi bingwa atapewa Chelsea mana alikuwa na perfomance nzuri mwaka jana.

Eti umemaliza juu ya mashushu mekundu ndio cha kujisifia, ama kweli nazi ni nazi. Faida gani umepata sasa kumaliza hio nafasi juu? both teams zimetoka out of top 4 halafu wajisifia kunizidi kwa one position? msimu ambao Mann utd imepata mafanikio mengi kuliko Arsenal. Unaringia nini hasa over man utd? we are in worse shape and still we hit you with 3 goals at Emirates.

I will improve my english if you show me my mistakes, please fell free to do so.....i am waiting

Umechezea miba mitatu kwa mashushu mekundu, u have got no era ya kuringia, una ukame wa EPL title for 13 years.... Just shut up... kwa sababu wakunitambia saiv ni Chelsea na Man city, these teams are fighting for dominance, na mpaka sasa bado hazijafanikiwa kwa asilimia 100....Arsenal imekuwa sio threat kabisa tena kwa Man utd. Ni just ordinary team kama leeds tu...

Nambie this season you are fighting for which place? 5th again?

By the way nasubiri na wewe uchukue hio Europa upate kurudi Champions League utolewe kwenye last 16 round as usual.
Mi nafikir nabishana na mkubwa mwenzangu kumbe mnuka maziwa
Ngoja nikusahihishe ww kichwa kigumu
FIFA best player hapewi kiatu anayepewa kiatu ni best scorer tena hii ni ya UEFA si ya FIFA
FIFA best player ni Ronaldo na Aliyechukua kiatu yaani UEFA best scorer ni messi
Shame on you
Nilikwambia katafute data kwanza kabla hujaingia humu
Diluted brain capacity
 
Sema Arsenal imetesa lini, usituletee bwabwaja zako hapa..... Tulitee era ambayo Arsenal ilikuwa ikitamba kama zilivotamba Liverpool na Manutd... LINI? Au umeona ukichukua kombe msimu mmoja tena ndio unajisifia umetesa? 😀 😀 😀 you guys are so pathetic....

Finali ya Champions League umefika mara ngapi? 😀 😀 😀
Hii comment yako tayari ilishakuondoa kwenye mizani ya kujadiliana na mimi, kivipi niendelee kubishana na kitoto cha juzi ambacho hakijui chochote kuhusiana na invincible side iliyoweka record isiyovunjwa kwenye historia ya EPL?

I am so interested to know which of those glories you had that we dont have or nobody has.... dont tell you also refering to 2004 unbeaten seasons 😀 is that all you got?

Well four years kwa sasa sio miaka mingi, you know why? because its no longer a 3 team race to top 3, its a race for 6 teams now. na ndio mana kwenye hio miaka minne unayozungumzia, kombe limekuwa linazunguka miji tofauti.

Tuzungumzie 20 years of Arsenal? Haya tuzungumze miaka 20 kwa ujumla, sio kumi tuone what has changed.

Tangu ianze kuitwa English premier league, Arsenal ameshinda mara tatu tu na hakuna hata moja ambayo ilikuwa back to back. Sasa vipi? miaka 20+ hio.

So ikiwa winning is not important but entertaining is important, nafikiri yale mabango ya THANKS ARSEN WENGER FOR 20 YEARS BUT ITS TIME TO GO tusingeyaona, wala Usmanov asingetaka kununua shares ili apate kuwa na full control ya club...... au I am proud of Arsenal for playing such an entertaining heartbreaking football that has proven to be unfruitful

Unasemaje? Arsenal hajawahi kuchukua EPL back to back!!? Kumbe misimu ya 2002/2003 na 2003/2004 ule ubingwa ulichukua wewe eti ehee? Nini maana ya back to back kwako!!?

Kijana nakuomba umalize kwanza kidato cha NNE ndio uje kujadiliana mpira na mimi, nabishana na ndebile tu hapa.

Halafu pia naomba hii ndio iwe mara ya mwisho kuninukuu. Ni kupoteza nguvu na muda tu kuendelea kubishana na wewe.
 
Labda wewe ndio hujui lugha, wewe unasema eti prfomance ya mwaka jana ya Man utd ndio kigezo cha kuangalia mwaka huu. Lakini huja explain kivipi? wakati mwaka jana perfomance ni tofauti na mwaka huu.

Kwa akili zako chache ukafananisha FIFA best player kuwa, ame perform mwaka jana vizuri ndio akapewa kiatu, hujaona tu kama umeboronga hapa? perfomance yake ya mwaka jana ndio imempa kiatu, MWAKA JANA narudi kwa herufi kubwa. Katika ligi, perfomance yako ya mwaka jana haikupi ubingwa wa mwaka huu. ingekuwa ivo basi bingwa atapewa Chelsea mana alikuwa na perfomance nzuri mwaka jana.

Eti umemaliza juu ya mashushu mekundu ndio cha kujisifia, ama kweli nazi ni nazi. Faida gani umepata sasa kumaliza hio nafasi juu? both teams zimetoka out of top 4 halafu wajisifia kunizidi kwa one position? msimu ambao Mann utd imepata mafanikio mengi kuliko Arsenal. Unaringia nini hasa over man utd? we are in worse shape and still we hit you with 3 goals at Emirates.

I will improve my english if you show me my mistakes, please fell free to do so.....i am waiting

Umechezea miba mitatu kwa mashushu mekundu, u have got no era ya kuringia, una ukame wa EPL title for 13 years.... Just shut up... kwa sababu wakunitambia saiv ni Chelsea na Man city, these teams are fighting for dominance, na mpaka sasa bado hazijafanikiwa kwa asilimia 100....Arsenal imekuwa sio threat kabisa tena kwa Man utd. Ni just ordinary team kama leeds tu...

Nambie this season you are fighting for which place? 5th again?

By the way nasubiri na wewe uchukue hio Europa upate kurudi Champions League utolewe kwenye last 16 round as usual.
Halafu nakulekebisha tena mpira hatuhesabu mwaka bali tunahesabu seasons
Halafu mbona unarudi kwenye best player si umesema nikutolee mfano wa timu nikakutolea
Hili jamaa mbona linajizunguka maneno yameisha nn
Eti man city na Chelsea wana ubabe gn England hao?
Waliopanda daraja majuzi au kisa
Walikugegeda
Naona ulishajiandaa kwa kisago j2
Wenzako wa liverpool washasepa humu we bado unajitia king'ang'anizi sana
Mtu mwenyewe discharged unatutajia vitu vya ajabu ajabu hapa Ww hujishutukii 2 au
Funga kopo lala
 
Kwani mnabishana nini?

Kwani ass no haikupigwa tatu?
 
Hii comment yako tayari ilishakuondoa kwenye mizani ya kujadiliana na mimi, kivipi niendelee kubishana na kitoto cha juzi ambacho hakijui chochote kuhusiana na invincible side iliyoweka record isiyovunjwa kwenye historia ya EPL?



Unasemaje? Arsenal hajawahi kuchukua EPL back to back!!? Kumbe misimu ya 2002/2003 na 2003/2004 ule ubingwa ulichukua wewe eti ehee? Nini maana ya back to back kwako!!?

Kijana nakuomba umalize kwanza kidato cha NNE ndio uje kujadiliana mpira na mimi, nabishana na ndebile tu hapa.

Halafu pia naomba hii ndio iwe mara ya mwisho kuninukuu. Ni kupoteza nguvu na muda tu kuendelea kubishana na wewe.
Hili lijamaa linaforce wakati halina data
Mkuu lipige chini
 
😀 😀 😀 tumeambulia droo, we umeambulia nini na invincible yako hapo trafford? hamkufungwa msimu mzima but almost half of it mlidroo....Unatwambia nini? the next season mkawa chapwa.....

Nasubiri unambie ulichoshinda ambacho hatuji kushinda ng'o

Mi mtoto wa juzi lakini nnachojua mie tangu ligi ya uingereza ianze, arsenal wamechukua back to back title mara 1 tu, tena it was damn long time ago.... it never happened again... I stand to be corrected from you old man....

Kuna kombe nakubali kuwa Man utd hatoweza kuchukua, lile emirates cup mliloanzisha ili kabati la makombe lisikae tupu 😀 ama lile kwa timu mnazochagua kushirikisha kweli hatuwezi kushinda.....

Unayo medali ya world club cup?
Kama hujui kitu ni bora ukae kimya, timu iliyomaliza na point 89 ime draw half ya game zake???
 
Yani Someone from Nowhere ambaye Ni Mgeni lakini Anajifanya Analijua hili Jukwaa Kuliko Watu Wote Wakati Kitambo Humu Tunajadiliana na Wahusika without Kejeli za Aina yoyote...
 
Tetesi
Arsenal na Tottenham wana nia wa kumsaini Dani Ceballos. Mchezaji huyo wa kiungo cha kati mwenye umri wa miaka 21 hana furaha huko Real Madrid. (Calciomercato)
 
Tetesi
Mchezaji wa kiungo cha kati wa Schalke na Germany Leon Goretzka, 22, ataiambia Manchester United, Arsenal na Barcelona mipango yake ya siku za usoni mwishoni mwa Januari licha ya klabua hizo zote kummezea mate
 
Tetesi
Arsenal wako makini kumsaini mchezaji wa kiungo cha kati wa Sevilla Steven N'Zonzi, 28 baada ya mchezaji huyo wa zamani wa Blackburn na Stoke kukosana na meneja wake Eduardo Berizzo. (AS, via Sun)
 
Mi nafikir nabishana na mkubwa mwenzangu kumbe mnuka maziwa
Ngoja nikusahihishe ww kichwa kigumu
FIFA best player hapewi kiatu anayepewa kiatu ni best scorer tena hii ni ya UEFA si ya FIFA
FIFA best player ni Ronaldo na Aliyechukua kiatu yaani UEFA best scorer ni messi
Shame on you
Nilikwambia katafute data kwanza kabla hujaingia humu
Diluted brain capacity
Labda ungeweza kunielewa, lau kama ningesema amepewa kiatu cha mfungaji apo kweli ningekubali nimebugi. Kwani Fifa best player sio sawa na kusema kachukuwa kombe la best player?
 
Ratiba ya raundi ya tatu ya michuano ya kombe la Fa, imetangazwa usiku huu na michezo hiyo itachezwa wikiendi ya januari 6 na 7 mwaka 2018

Majogoo Liverpool wataanza michuano hiyo kwa kuchuana na wapinzani wao wa jadi Everton,huku bingwa mtetezi Arsenal akianzia ugenini kwa kucheza na Nottingham Forest.

Matajiri wa Manchester City wataanzia nyumbani katika dimba la Etihad,kwa kucheza na Burnley nao Manchester United wakiwalika Derby County.

Vijana wa Antonio Conte, Chelsea wataanzia ugenini kwa kucheza na Norwich, Tottenham Hotspur watakua wenyeji wa AFC Wimbledon
 
Back
Top Bottom