Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sikulaumu! Kubakwa Getoni Kwako sio jambo dogo...
Siongei na mashabiki wa timu masikini.Timu isiyokuwa na mwelekeo kuanzia kwa mabosi hadi mashabiki waliopinda
Timu hata kombe haibebi vikijitahidi sana vinafika fainali vinakung'utwa
Tokea lini cjui hata carabao havina
Vinakalishwaga mpaka uropa
Havina hela ya kusajili wachezaji wa maana ndo maana vinasajili wachezaji wa kiafrika sana na vinategeshea wachezaji wa bure
Rekodi ya usajili mkubwa paundi 35m hivi na nyie mnategemea hata kombe la kuku
Pelekeni mkungu wa ndizi!!!!!??!!!!!!
 
Siongei na mashabiki wa timu masikini.Timu isiyokuwa na mwelekeo kuanzia kwa mabosi hadi mashabiki waliopinda
Timu hata kombe haibebi vikijitahidi sana vinafika fainali vinakung'utwa
Tokea lini cjui hata carabao havina
Vinakalishwaga mpaka uropa
Havina hela ya kusajili wachezaji wa maana ndo maana vinasajili wachezaji wa kiafrika sana na vinategeshea wachezaji wa bure
Rekodi ya usajili mkubwa paundi 35m hivi na nyie mnategemea hata kombe la kuku
Pelekeni mkungu wa ndizi!!!!!??!!!!!!
Pambaneni na hali zetu...wenzenu wanakula bata Ulaya nyie mnaishia kutukanana mitandaoni...Vikombe vyao ninakuongezea kisamvu mezani?.
 
Pambaneni na hali zetu...wenzenu wanakula bata Ulaya nyie mnaishia kutukanana mitandaoni...Vikombe vyao ninakuongezea kisamvu mezani?.
We nae mbona unaingilia kusikojulikana
Liverpool hawana vikombe mm nina makombe
Wameng'aza cjui toka lini hawabebi ligi,fa wala lile kombe la kuku calabao
We unanambia vikombe vyao wavitolee wapi!!!!
Au na ww ni walewale
 
We nae mbona unaingilia kusikojulikana
Liverpool hawana vikombe mm nina makombe
Wameng'aza cjui toka lini hawabebi ligi,fa wala lile kombe la kuku calabao
We unanambia vikombe vyao wavitolee wapi!!!!
Au na ww ni walewale
Ni kweli huenda nimeingilia kusikojulikana ...maana sikuelewi hoja yako ni nini hasa....Enjoy your beautiful Sunday
 
Ni kweli huenda nimeingilia kusikojulikana ...maana sikuelewi hoja yako ni nini hasa....Enjoy your beautiful Sunday
Asante kwa kujitambua mapema
Unavyooneka tu inaonekana huwezi kuelewa
Na wala don't force yourself to understand
You can't think beyond your thinking brain capacity
Ukilazimisha utaenda milembe
Enjoy your beautiful Sunday too
 
Sijajua man of the match kwa mechi ya jana alikuwa ni nani, lakini na hakika mpaka mwisho wa msimu huu mchezaji bora wa man u atakuwa ni degea na wala sio mwingine. Hii ina maanisha kwamba siku degea akienda majeruhi mtakuwa ni jamvi la wageni, sababu yeye ndio beki yeye ndio kipa , washambuliaji wanafunga magoli ya matukio tu.

Timu yetu matatizo yetu ni Yale Yale, hakuna umakini kwenye defensi, tukikutana na timu zenye mpira wa fujo hasa kama formation yenyewe ni 10-1 linatupa wakati mgumu japo sasa hivi tunae fundi Lacazette anaeweza kutumia vizuri mipira mirefu.

Kwani nkuulize, alichokifanya De gea ni wajibu wake au sio wajibu wake? Ukijibu hili ndio utajua kuwa kila mchezaji ana wajibu wake, anapo perform vizuri unamsifia ili apate motivation, lakini ni wajibu wake kulinda goli in any way.

Sasa Man U akiondoka De gea unasema itakuwa jamvi la wageni, haya Arsenal jamvi la kina nani? Huwe ku compare a team that is fighting to win the tittle to a team that is fighting just to get a 4th place for uefa qualifiers.
 
Kwani nkuulize, alichokifanya De gea ni wajibu wake au sio wajibu wake? Ukijibu hili ndio utajua kuwa kila mchezaji ana wajibu wake, anapo perform vizuri unamsifia ili apate motivation, lakini ni wajibu wake kulinda goli in any way.
.

Ndio ni wajibu wake na ndivyo anavyopaswa kucheza kwa kuwa ameajiriwa pale kwa majukumu Yale. Ila kitendo cha yeye kuonekana ndio muhimili wa timu na kuwa outperform wachezaji wenzake wengine wote kama ilivyokuwa jana, inaonesha wazi kwamba timu yenu ina imbalance kubwa sana, yaani sehemu kubwa ina mapungufu na mapungufu hayo yanazibwa na goli kipa kuhakikisha mnapata ushindi.

Yaani ina mbidi goli kipa wenu awe anafanya kazi kubwa ya ziada kuliko hata beki zake, siku hakicheza chini ya kiwango tu basi mtakula mvua za magoli. Hivi kwa ile mechi ya Jana kama mngekuwa na yule degea wa 2012-2014 unafikiri mngepigwa ngapi? Kwanini sasa hivi tusiseme umahiri wa golikipa ndio unaibeba man u!?

Nikukumbushe kidogo misimu ya nyuma Barcelona walikuwa na kipa mbovu Victor Valdes lakini walikuwa wanaoshinda mechi nyingi tu kubwa bila kufungwa magoli mengi, ni kwa sabaabu timu yao nzima ilikuwa ime balance hivyo hawakuhitaji umahiri mkubwa wa goli kipa ndio uwaokoe wasifungwe magoli.

Timu yenu ina mapungufu sana sehemu ya kiuongo na huko mbele, huyo lukaku hamna anachofanya zaidi ya kurukaruka tu, pogba nguvu nyingi tu akili kisoda.
 
Siongei na mashabiki wa timu masikini.Timu isiyokuwa na mwelekeo kuanzia kwa mabosi hadi mashabiki waliopinda
Timu hata kombe haibebi vikijitahidi sana vinafika fainali vinakung'utwa
Tokea lini cjui hata carabao havina
Vinakalishwaga mpaka uropa
Havina hela ya kusajili wachezaji wa maana ndo maana vinasajili wachezaji wa kiafrika sana na vinategeshea wachezaji wa bure
Rekodi ya usajili mkubwa paundi 35m hivi na nyie mnategemea hata kombe la kuku
Pelekeni mkungu wa ndizi!!!!!??!!!!!!

Mimi nilifikiri Naongea Na Mshabiki Wa Mpira! Kumbe NamQuote Mshabiki Maandazi Zero brain...!!!!!

Eti timu Maskini!!! Hebu Nitajie Timu 10 tajiri Zaidi Duniani halafu uniambie Liverpool ni Yangapi....!!!

Halafu Taja Vikosi Vitano 5 bora Vyenye thamani EPL uone Kama Arsenal Utanifika Hata Nusu ya Thamani Ya Wachezaji Wa Liverpool...

Arsenal Nzima Hamuna Mchezaji Unayeweza Muuza £60m wakati Ndani Ya Liverpool hata Yule average Firmino huwezi uziwa.

Na Ukija Kwenye Mishahara Ndiyo Kabisa Liverpool Hamtuingii Kwa Mishahara Yenu Ya Hela ya Karanga.

Kabla Ya Kuongea Kwanza iangalie Timu Yako Kwanini inakimbiwa na Wachezaji???

OK! sisi hatuna Makombe! Je Arsenal Ndani Ya Miaka 10 Kabeba Makombe Mangapi?
 
Lizarazu ukisema Pogba akili kisoda nguvu nyingi akili kisoda unanifanya nijiulize uwezo wako kwenye mpira uko kiwango gani.
Kwa mechi ya jana tu magoli mawili yeye ndio katoa ASSISTS unaweza kuangalia tena au muulize Kolschieny alichofanywa.

Man Utd bila Pogba sio sawa na Man United ikiwa na Pogba uwanjani. Mtu yeyote anaejua mpira hawezi kukosa kuona uwezo mkubwa wa Pogba labda kama una chuki binafsi.

Poleni nasikia mlikuwa hamjafungwa mechi 12 za EPL hapo Emirates anzeni tena nafasi ya nne bado ipo wazi ila ubingwa sahauni na hatujafika hata Januari.
 
Ndio ni wajibu wake na ndivyo anavyopaswa kucheza kwa kuwa ameajiriwa pale kwa majukumu Yale. Ila kitendo cha yeye kuonekana ndio muhimili wa timu na kuwa outperform wachezaji wenzake wengine wote kama ilivyokuwa jana, inaonesha wazi kwamba timu yenu ina imbalance kubwa sana, yaani sehemu kubwa ina mapungufu na mapungufu hayo yanazibwa na goli kipa kuhakikisha mnapata ushindi.

Yaani ina mbidi goli kipa wenu awe anafanya kazi kubwa ya ziada kuliko hata beki zake, siku hakicheza chini ya kiwango tu basi mtakula mvua za magoli. Hivi kwa ile mechi ya Jana kama mngekuwa na yule degea wa 2012-2014 unafikiri mngepigwa ngapi? Kwanini sasa hivi tusiseme umahiri wa golikipa ndio unaibeba man u!?

Nikukumbushe kidogo misimu ya nyuma Barcelona walikuwa na kipa mbovu Victor Valdes lakini walikuwa wanaoshinda mechi nyingi tu kubwa bila kufungwa magoli mengi, ni kwa sabaabu timu yao nzima ilikuwa ime balance hivyo hawakuhitaji umahiri mkubwa wa goli kipa ndio uwaokoe wasifungwe magoli.

Timu yenu ina mapungufu sana sehemu ya kiuongo na huko mbele, huyo lukaku hamna anachofanya zaidi ya kurukaruka tu, pogba nguvu nyingi tu akili kisoda.

Mnakuwa mnanichekesha sana, tuna kipa mwengine anaitwa Sergio, na huyo naye vipi? Wakati unazungumzia mchango wa goal keeper, usisahau na ule wa washambualiaji. Kumbuka kuwa goalkeepr section yake ni defence, sikatai kama amefanya kazi nzuri, bali nasema ule ni wajibu wake, ni vizuri kumpa hongera kwa kutimiza wajibu wake.

Unatoa mfano wa degea wa 2012-2014 kwani kwenye miaka hio ulioitaja mlitufunga mechi ngapi?

Unasemaje Barcelona timu ilibalance wakati umeshatwambia valdes alikuwa mbovu 😀 😀 😀 kubalance kwa timu ikiwa kila mtu anatekeleza majukumu yake. Just for your information, Tangu Peter, Barthez, Van, makipa wetu wanakuwa wazuri wa kutekeleza majukumu yao. Unlike Arsenal, ambao sio kipa tu, the whole team doesnt know what they want.... Sawa Lukaku hana anchokifanya zaidi ya kuruka ruka mpaka sasa ana goli 8 na assit 4, sasa lacazzeti ambae anacheza mpira ana goli 8 na assist 1.... sasa kwanini usiseme wanaruka ruka wote....Sanchez mchezaji ana mangapi?

Wenger na wachezaji wake wamekwisha.... vipi unacheza eti kwa kupoint nafasi ya nne?

What is your club future? 😀
 
Lizarazu ukisema Pogba akili kisoda nguvu nyingi akili kisoda unanifanya nijiulize uwezo wako kwenye mpira uko kiwango gani.
Kwa mechi ya jana tu magoli mawili yeye ndio katoa ASSISTS unaweza kuangalia tena au muulize Kolschieny alichofanywa.

Man Utd bila Pogba sio sawa na Man United ikiwa na Pogba uwanjani. Mtu yeyote anaejua mpira hawezi kukosa kuona uwezo mkubwa wa Pogba labda kama una chuki binafsi.

Poleni nasikia mlikuwa hamjafungwa mechi 12 za EPL hapo Emirates anzeni tena nafasi ya nne bado ipo wazi ila ubingwa sahauni na hatujafika hata Januari.
They were not targeting the title from the beginning.... All they target is the chance to PARTICIPATE in UEFA and not COMPETING in UEFA.... Arsenal has been a team with low standards.
 
Tetesi
Manchester United wamajiunga na Arsenal na Barcelona kumwinda mchezaji wa safu ya kati wa Schalke na Ujerumani Leon Goretzka, 22, msimu uajo (Mail on Sunday)
 
Back
Top Bottom