Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hapa kuna kitu hakipo sawa, shots on target Arsenal 15 (1) and Man U 4 (3).
Kwenye hizo 15 shots zipo nyingi ambazo De Gea alikuwa anaziokota tu..zile za kusifiwa ni kama 7 hivi ambazo vile vile ni nyingi.
Clear chance one on one mbili moja mmefunga I guess. The rest were scrappy
 
Kwenye hizo 15 shots zipo nyingi ambazo De Gea alikuwa anaziokota tu..zile za kusifiwa ni kama 7 hivi ambazo vile vile ni nyingi.
Clear chance one on one mbili moja mmefunga I guess. The rest were scrappy

Yani inaonesha upande wa nyuma kuna tatizo, shots on target 4 (3) hili unalizungumziaje
 
Cha kustaajabisha washabiki wa Arsenal hawachelewi kusahau weakness ya timu yao.
Sijajua man of the match kwa mechi ya jana alikuwa ni nani, lakini na hakika mpaka mwisho wa msimu huu mchezaji bora wa man u atakuwa ni degea na wala sio mwingine. Hii ina maanisha kwamba siku degea akienda majeruhi mtakuwa ni jamvi la wageni, sababu yeye ndio beki yeye ndio kipa , washambuliaji wanafunga magoli ya matukio tu.

Timu yetu matatizo yetu ni Yale Yale, hakuna umakini kwenye defensi, tukikutana na timu zenye mpira wa fujo hasa kama formation yenyewe ni 10-1 linatupa wakati mgumu japo sasa hivi tunae fundi Lacazette anaeweza kutumia vizuri mipira mirefu.
 
Sijajua man of the match kwa mechi ya jana alikuwa ni nani, lakini na hakika mpaka mwisho wa msimu huu mchezaji bora wa man u atakuwa ni degea na wala sio mwingine. Hii ina maanisha kwamba siku degea akienda majeruhi mtakuwa ni jamvi la wageni, sababu yeye ndio beki yeye ndio kipa , washambuliaji wanafunga magoli ya matukio tu.

Timu yetu matatizo yetu ni Yale Yale, hakuna umakini kwenye defensi, tukikutana na timu zenye mpira wa fujo hasa kama formation yenyewe ni 10-1 linatupa wakati mgumu japo sasa hivi tunae fundi Lacazette anaeweza kutumia vizuri mipira mirefu.
Tulishinda Europa League kipa akiwa Sergio Romelo. Pamoja na De Gea kuwa kipa bora lakini namba mbili nae ni mzuri sana.
Tuna historia ya kuwa na makipa wazuri, Schemeical, Van Der Saar hawa wote walikuwa wanatuokoa sana. Usipokuwa na kipa mzuri hata 4 shots on goal unafungwa magoli matatu! De Gea was/is doing what he is supposed to do.
 
Ni muda sasa wa kutafuta m badala mzuri wa monreal, koncienly nae ameshachoka.
 
Tulishinda Europa League kipa akiwa Sergio Romelo. Pamoja na De Gea kuwa kipa bora lakini namba mbili nae ni mzuri sana.
Tuna historia ya kuwa na makipa wazuri, Schemeical, Van Der Saar hawa wote walikuwa wanatuokoa sana. Usipokuwa na kipa mzuri hata 4 shots on goal unafungwa magoli matatu! De Gea was/is doing what he is supposed to do.
Sergio Romelo hajakutana na mikiki mingi ya EPL sidhani kama anaweza kuhimili mikiki ya kila wiki kama degea yaani zile shots za hapa na hapa, degea anajua hata kujiposition ndio maana mipira mingine inamkuta alipo yeye.

Kingine kwa matic pale morinho alilamba dume.. Anayetendea vizuri sana majukumu yake, hata zile header za kuokoa nyingi alikuwa anapiga yeye
 
Back
Top Bottom