Pesa karatasi
Senior Member
- Nov 6, 2017
- 133
- 74
Arsenal na Mugabe! Mashabiki mtaendelea kulia
Asante...Njoo tufute machozi...Arsenal na Mugabe! Mashabiki mtaendelea kulia
Kwa perfomance hii tunabeba ndoo




Arsenal hua inashida moja kuu nayo ni kukosa nidhamu ya ukabaji.
Hua wanainjoi kupasiana huku wanakwenda na kusahau kabisa majukumu ya kuzuia na kwenye hili Mzee Wenger ameshindwa kulifanyia kazi miaka nenda rudi
Na yeye piaJESE LINGARD anawatakia usiku mwema.![]()

Hivi hata hamkutambua morinho aliwachezesha makirikiri mkaacha bongo flavour?????Hey guys, we tried our best, stupid mistakes cost us the game, kwa mara ya kwanza wala sina hasira...
Tumecheza mpira wakuu, kumbukeni wazee ukiwa na goalie mzuri it makes a difference, all the time..
Good night good people..
[HASHTAG]#Gunners[/HASHTAG] together we stand..
😀😀😀😀😀😀Hapa inatakiwa tutulie tucheze mpira
Mbona magori yanarudi na tunawaongeza
Usiwaone mabeki pobga na lingard second gori mibeki inapitwa kati inaona...!Poa tushakong'otwa knuckles 3, tumewachapa nawo kimoja...
Ila game tamu sana sana sana...
Take a note, wazee Petr Čech kachoka! Hata kujirusha kama De Gea?! Angeweza hata kuokoa goli moja! Ni mimi lakini...!
Sasa je lakanyavu 49'
This is a winning game