Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ARSENAL MNAZINGUA CHEZENI NILE HELA YANGU MTOE HYO GG.....NA MSIPOTOA GG JUMAPILI CHELSEA WATAWAFANYA MBOGA
 
Mpira raha sana , ball possession Arsenal 71 - Cologne 29

Ila Cologne wanaongoza goli moja

Hawa FC Cologne ni "watu wasiojulikana"
 
e783fa56a45a53facd8d1fbd045b3af2.jpg


Kamtandao kanasuasua na niko ofisini ila nimebahatika kuona goli tulilofungwa.

Kocha naona anawaogopa Chelsea..sio kwa kikosi hiki aisee


Khekhe khe kheeeee..sabalheri majirani!
 
Hivi ni Cologne au Koln ama ni the same thing mkuu?

A na B yote sawa

Kolh ninahisi ni kwa kijerumani - Cologne ni kwa kingereza

** 1. Fußball-Club Köln 01/07 e. V., commonly known as simply 1. FC Köln or FC Cologne in English, is a German association football club based in Cologne.

** Poleni kwa kufungwa nyumbani lol
 
A na B yote sawa

Kolh ninahisi ni kwa kijerumani - Cologne ni kwa kingereza

** 1. Fußball-Club Köln 01/07 e. V., commonly known as simply 1. FC Köln or FC Cologne in English, is a German association football club based in Cologne.

** Poleni kwa kufungwa nyumbani lol
Arsenal 3-1
 
Timu yenu ni tiamaji tiamaji sana... kipindi cha kwanza chote hamkuwepo hapa JF, baada ya "kubahatisha" ndio mnaibuka sasa lol

Hamna kitu kinanishangaza kama mashabiki wa timu nyingine kuja kwenye jukwaa la Arsenal na mnatulazimisha tujadili sielewi mnapokomaa eti mbona mko kimya,simply jukwaa hili ndivyo lilivyo hakuna kelele maana kuna jukwaa wanajadili hata mchezaji wao akiwa anaoa ukiona tuko kimya vunga kwenye hii game hakuna hata alieleta line-up na updates mfululizo ila tumekausha ndio aina yetu ya ushabiki.
 
hawa watoto hawalali tu miaka 13 bado tu vinajifanya vinajua kukesha
 
Hamna kitu kinanishangaza kama mashabiki wa timu nyingine kuja kwenye jukwaa la Arsenal na mnatulazimisha tujadili sielewi mnapokomaa eti mbona mko kimya,simply jukwaa hili ndivyo lilivyo hakuna kelele maana kuna jukwaa wanajadili hata mchezaji wao akiwa anaoa ukiona tuko kimya vunga kwenye hii game hakuna hata alieleta line-up na updates mfululizo ila tumekausha ndio aina yetu ya ushabiki.
Imekuaje siku izi....Mbona mlikuwa mnaleta updates pamoja na line up....!!
 
Confirmed line-up against Chelsea:

Arsenal XI: Cech, Koscielny, Mustafi, Monreal, Bellerin, Ramsey, Xhaka, Kolasinac, Welbeck, Iwobi, Lacazette.

Substitutes: Mertesacker, Sanchez, Giroud, Ospina, Walcott, Maitland-Niles, Elneny.
 
London derby
07e6a4994ad5d41d36121764b0a0068c.jpg

Hatujawahi kupata matokeo chanya pale darajani kwa misimu mingi ila lolote linawezekana....COYG
 
Salam wakuu.

Naona Wenger anamumunya sababu kumueka Sanchez bench. Mzee anapenda mizengwe, si Bora angemuuza tu summer tujue Moja.
 
London derby
07e6a4994ad5d41d36121764b0a0068c.jpg

Hatujawahi kupata matokeo chanya pale darajani kwa misimu mingi ila lolote linawezekana....COYG

Mi pa sanchez na iwob sijakubaliana nae labda kwa kuwa yeye kocha kuna kitu kaona tuweke akiba ya maneno tusijeumbuka baadae.
 
Leo tuko pamoja wakuu...komaeni hata draw kitaeleweka tu!
 
Back
Top Bottom