Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Kwa jinsi watu walivyo kuwa wakiwasakama na maneno ya kejeli bezo na utabiri ule hii suluhu inawabeba kiukweli mmepigana
Arsenal uingereza ilikuwa inasumbuliwa na Man Utd pekee. Kwa kocha ilikuwa mourinho ila kwa sasa mwiko umevunjwa.Kwa jinsi watu walivyo kuwa wakiwasakama na maneno ya kejeli bezo na utabiri ule hii suluhu inawabeba kiukweli mmepigana
Kwani Wenger ndo anayecheza mpira mkuu!?Tukubali tukatae Wenger amechoka.
️ dakika ya 24




mwenye clip ya scorpion kick ya geroud akifunga against crystal palace anitumie kweny whatsup 0655640213. nimejaribu ku dowload kweny you tube nimeshindwa
Arsenal uingereza ilikuwa inasumbuliwa na Man Utd pekee. Kwa kocha ilikuwa mourinho ila kwa sasa mwiko umevunjwa.
Wenger alibugi kumchezesha Ox ile game ndiyo maana baadhi ya wachezaji waligundua mchezo mchafu mfano Sanchez.
Hadi sasa naamini arsenal wana kikosi kizuri kuliko timu zote bali matumizi tu .

