Haha haaa sawa mkuuAhahaha na sisi tulilia miaka 20
Sasa tunacheka tu
Avumilie
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha haaa sawa mkuuAhahaha na sisi tulilia miaka 20
Sasa tunacheka tu
Avumilie
"BIG EXPLANATION IS NEEDED FROM WENGER FOR THE LINEUP HE USED. WHAT THE F-U-K WAS THAT? EVEN MY 5 YEAR OLD SAID THIS WAS A DISASTER LINEUP BEFORE THE GAME KICKED OFF. WENGER MUST BE IN SOME KIND OF GAME FIXING."
Hahahaaah kwa hapa nimeshindwa mtaniHapana mtani stahmil tu ulipenda mwenyewe na pia ukikaa ndio ukomavu wenyewe usiwe tu siku za furaha ndio unaonekana
Bora nawe unisaidie kumuelewesha mtani wetu Katavi kuwa majonzi na furaha huwa haviepukiki kwa wana michezofuraha na majonzi lazma ukumbane navyo kwenye mpira, asa asikimbie wakati wa majonzi mana akumbuke wakati wa furaha pia upo.
Je nimefahamu sawa kwamba Alexis ndiye aliyepanga timu iliyofungwa 4-0?.... Nonda,
Habari za ndani kabisa ni kwamba wachezaji wote wa kikosi cha kwanza wanataka Alexis Sanchez aondolewe kwenye timu hiyo kufikia Alhamisi jioni.
Inaaminika kwamba mechi ya jumapili haikuwa ya kupoteza endapo Wenger asingempanga Alexis Sanchez na kumwacha Lacazette kwenye bench.
Wachezaji wengi waandamizi akiwemo Ozil, Ramsey, Xhaka, Boss, Bellerin na kipa Petr wamempata ultimatum Arsene Wenger amwondoe Sanchez kufikia kesho jioni.
Wachezaji hao wanaamini kwamba Arsene Wenger amekuwa akimpendelea kwa kiasi kikubwa Sanchez na hivyo yeye kuchukulia kwamba anaweza kufanya lolote au hata kuanza kudekadeka.
Hata baada ya mechi ya jumapili ndani ya chumba cha kubadili jezi kulikuwa na majibizano makali baina ya wachezaji na Sanchez alikuwa amewekwa kati huku Petr akiongoza kutoa shutuma kwamba Sanchez hana nia tena ya kuchezea Arsenal.
Hivyo Sanchez kufikia kesho jioni anaweza kuwa ni mchezaji wa Manchester City ambapo meneja Pep Guadiola amekuwa akimvuta Kamba Sanchez kabla hata ya msimu wa 16/17 kuisha.
......
Timu ilopaswa kuanza mechi ni hii:
Petr, Bellerin, Kolasinac, Rob Holding na Boss
Kati alipaswa kuwa Xhaka na Ramsey, pembeni kulia Alex Iwobi, pembeni kushoto, Walcott, kati Lacazette na Ozil.
Wachezaji wa akiba walipaswa kuwa Giroud, Chamberlain, Coquelin, Monreal, Welbeck na Ospina.
Hizi ni habari za ndani kabisa yaani ni "Exclusive".
Nini kimemfanya Alex Chamberlain kukataa mkataba wa 180000 kwa wiki na akubali 120000 kwa wiki atakayopata Liverpool?Usajili Updates:
Arsenal wanaendelea na kuondoa baadhi ya wachezaji:
Alex Chamberlain jioni hii anazungumza na Liverpool baada ya kukataa kwenda Chelsea.
Alex Oxlade Chamberlain anazungumza na Liverpool baada ya kukataa kuchezea timu ya Chelsea ambao jana walikubaliana na Arsenal kumsajili mchezaji huyo.
Mchezaji huyo wa kiungo wa kimataifa wa timu ya Uingereza mwenye umri wa miaka 24, hivi sasa yupo kambini na timu hiyo kujiandaa na mechi za kufuzu kucheza kombe la dunia mwaka 2018.
Alex Chamberlain anataka kucheza nafasi yake ya asili ya kiungo wa kati yaani "central midfield" ambayo Liverpool wanataka kumsajili badala ya Chelsea ambao wanataka kumtumia kucheza nafasi ya beki wa kulia.
Nini kimemfanya Alex Chamberlain kukataa mkataba wa 180000 kwa wiki na akubali 120000 kwa wiki atakayopata Liverpool?
Link Alex Oxlade-Chamberlain: Liverpool agree £40m deal for Arsenal midfielder
Je nimefahamu sawa kwamba Alexis ndiye aliyepanga timu iliyofungwa 4-0?
Kama si Alexis, ilikuwaje? Au kwa nini Wenger aliingiza kikosi kile cha "kuku" kukabiliana na "majogoo" ya Malafyale?
Liverpool chini ya Klopp atabeba makombe!Nini kimemfanya Alex Chamberlain kukataa mkataba wa 180000 kwa wiki na akubali 120000 kwa wiki atakayopata Liverpool?
Link Alex Oxlade-Chamberlain: Liverpool agree £40m deal for Arsenal midfielder