Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Waacheni waende zao tu huyu Wenger mpuuz sana na tufungwe na timu zote kasoro man u na Chelsea tu pumbav
 
Waacheni waende zao tu huyu Wenger mpuuz sana na tufungwe na timu zote kasoro man u na Chelsea tu pumbav
 
Chama letu linahitaji mabadiliko makubwa. Tunatetereka lakini kuna siku tutarudi tunapostahili. Muda wa kuondoa deadwoods umeanza bye bye Gibbs, chamberlain. Loading...
 
Arsenal bid £90 million for Thomas Lamar after accepting an offer from Man city for Alexis Sanchez, the offer is said to be £55 million + £5 million add-ons.

Let's see how the deadline day unfolds.
 
Kifupi Wenger ONDOA mchezaji yoyote yule asiyetaka kucheza na jezi yetu, kuanzia Ozil, Shkodran Mustafi, Sanchez...yoyote yule...
Hata tusiposaini wachezaji bado kikosi kikubwa mno, pia tuna vijana kama Ainsley Maitland-Niles na hasa hasa huyu
Reiss Nelson, kumbukeni hili jina, huyu kijana yuko vizuri mno mno..
 
Kifupi Wenger ONDOA mchezaji yoyote yule asiyetaka kucheza na jezi yetu, kuanzia Ozil, Shkodran Mustafi, Sanchez...yoyote yule...
Hata tusiposaini wachezaji bado kikosi kikubwa mno, pia tuna vijana kama Ainsley Maitland-Niles na hasa hasa huyu
Reiss Nelson, kumbukeni hili jina, huyu kijana yuko vizuri mno mno..
Ndio maana nashangaa kuona plastic fans wa arsenal wakikata tamaa, asiyetaka kuichezea arsenal aondoke. No one is bigger than the club
 
Mpaka huyu malaika/kiumbe Wenger atakapoondoka labda tutapumua.....vinginevyo tujiandaa kwa maumivu zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na matatizo mengi ya Wenger, Stan Kroenke anasemekana kuwa hajali ufanisi wa timu uwanjani, anachoangalia ni faida yake kimapato. Hata timu anazomiliki huko USA wanalalamika kuhusu ubahili wake na kuweka maslahi yake mbele.

Huenda tatizo likawa Wenger+Kroenke.
 
Kifupi Wenger ONDOA mchezaji yoyote yule asiyetaka kucheza na jezi yetu, kuanzia Ozil, Shkodran Mustafi, Sanchez...yoyote yule...
Ndio maana nashangaa kuona plastic fans wa arsenal wakikata tamaa, asiyetaka kuichezea arsenal aondoke. No one is bigger than the club
Plastic fans utawajua tu, shyte happens in soccer. We're arsenal fans, together we stand!! COYG
Waacheni waende zao tu huyu Wenger mpuuz sana na tufungwe na timu zote kasoro man u na Chelsea tu pumbav

After 23 years at Arsenal, Gunnersaurus has handed in a transfer request

21192977_1590530587660813_7649293837699262511_n.jpg
 
Usajili Updates:

Arsenal waweka mezani kwa Monaco pauni milioni 90 kumsajili Thomas Lemar.

Anakuja kuchukua nafasi ya Alexis Sanchez.

Akipatikana Lemar, jioni hii Sanchez atasaini kwenda Man City nchini kwao Chile. kwa pauni milioni 60.

Kuna uwezekano wa kumsajili pia Riyad Mahrez kutoka Leicester City ambae pia anafukuziwa na Chelsea na Barcelona..

More to come, stay tuned.
 
Usajili Updates:

Arsenal imemkosa Riyad Mahrez na inaonekana atasaini kwenda Chelsea kwa pauni milioni 45.

8187730221.jpg


Mahrez aliruhusiwa kuondoka wenye kambi ya timu ya taifa ya Algeria na jana usiku alionekana mjini Paris kuunganisha ndege ya kwenda London.
 
Back
Top Bottom