McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
Girooooooud...
️
Arsenal 4-3 Lei
️Arsenal 4-3 Lei
️VP mkuu bado wanabisha hao jamaamchana wakati naongea na watu wangu wa karibu ambao tuko kundi moja walinibishia sana ila sasa ivi siongei tena wanashuhudia kwa macho yao wenyewe![]()
Safi sanamchana wakati naongea na watu wangu wa karibu ambao tuko kundi moja walinibishia sana ila sasa ivi siongei tena wanashuhudia kwa macho yao wenyewe![]()
Sana mwananguFT
Arsenal 4-3
One of my best come back,thanks lads hizi ni 3 pts muhimu.
Aisee kolasinic nimemuelewa sanaHongera.. kwa udhamin wa braza mbavu a.k.a bodybuilder kolasinic.. huyu anatufaa..
sent using my nokia ya tochi
Kafunga dk ya pili assist ya elney, Welbeck dk 45 assist ya kolasinac, Giroud naye kwa assist ya lacazette na la nne kafungaLacazette wenu kafunga goli dk 83'
Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app
Braza mbavu nmemuelew saana... ila wenger atuongezee midfilder m1 ya ngu saana, ikiwezekana na beki ya kati 1, amuongeze mkataba ox, ana deserve anaonesha kukua.Aisee kolasinic nimemuelewa sana