Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

5e850fbdbbd068bde5d59c5fe7f790a1.jpg
 
Hampo sirious wadau yani timu yenu inacheza leo friendly mechi afu hamna update zozote kweli..????
Ingieni jukwaa la man u muone timu haijaanza friendly mechi lakin update kuhusu team zipo kibao.

Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app
 
Lacazette wenu kafunga goli dk 83'

Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app
 
MICHAEL MARTIN ASEMA UTABIRI WAKE KWA ARSENAL HAUJAHUSISHA USAILI WA MTU YEYOTE
Mwingereza na mtu pekee aliyeitabiria ubingwa Leicister City msimu wa 2015/16
Na
Kuitabiria Chelsea 2016/17 na kufanikiwa kwa asilimia 100
Amesema utabiri wake hauja uhuisha usajili bali ameliona wingu la dhahabu Emirates
Michael Martin alijitengenezea jina baada ya Leicister kuibuka mshindi akiwa ni mtu pekee aliyeitabiria timu hiyo alisema
"Mimi ni mnajimu sio mtu wa soka ingawaje napenda soka na utabiri wangu nauelekeza kwenye Soccer"
Ukiniuliza ni mchezaji gani asajiliwe ili utabiri wangu utimie siwezi kujua(akiwa anacheka)
"Ila kiunajimu Arsenal ndio mabingwa msimu ujao wingu la dhahabu linang'ara kwao"
Arsenal ipo ktk mzozo na Nyota wao wawili SANCHEZ na OZIL lakini Michael Martin haoni utabiri wake kuvurugwa na ilo
"Mmmh Sijui kama watabaki au wataondoka ilo sijaliangalia
Ila ata km wataondoka kesho au kesho kutwa utabiri utasimama ivi ivi"
Arsenal imeshamnasa Alexandrar Lacazette na Wenger amethibitisha kumfukuzia Riyadh Mahrez,Thomas Lemar
Kitu kinachofanya kuonekana kuifanya Arsenal kuwa tishio zaidi eneo la katkat
Kwakuwa uwepo wa Ozil,Xhaka,Coquelin,Ramsey,Carzola na wengineo utafanya Mahrez ku fit kirahisi kwenye mfumo wa 3:2:3:2, au 3-4-3


Tumuachie mtihani huu mr Michael Martin
Kama ataendelea kuwa mbabe wa utabiri EPL...
Ama atachemsha kwa mara ya kwanza....

YHWH IS GOOD
 
Kwakweli, hivi Sanchez ndo anaondoka kweli au ameghairi

Tetesi zinasema jamaa atatoa mustakabali wake soon next week kuna picha zinamuonyesha akiwa kwao na wakala wake wataalam wa mambo wanaamini ulikua mjadala wa hatma yake na upande wa pili mzee AW anadai aliwasiliana na Sanchez mara ya mwisho kwa msg na jamaa alikua positive tu ingawa amekiri kuna mengi ya kuwekwa sawa atapokutana nae kipindi cha pre-seasson.
 
Back
Top Bottom