Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

nafikir msimu unaokuja..hautakuwa tofaut na msimu uliopita..tatizo letu ni wenger na kroenke!!
 
Bayern Munich kasikia kuwa Arsenal hatakuwepo Uefa msimu huu,imebidi amtafute kwenye pre-season wamalizane kabisa mapema tu
Haya sema sasa, mara zote tunakuwa 10-men, leo 11 kwa 11 wamepata cha mtema kuni, kama Barcelona tu hawa, 11 kwa 11 hawatuwezi kabisa
 
Bayern Munich kasikia kuwa Arsenal hatakuwepo Uefa msimu huu,imebidi amtafute kwenye pre-season wamalizane kabisa mapema tu

kwani wakati KING MESSI anaingia nyavuni mara 4 mlikuwa pungufu?

Nadhani ulikua unawazungumzia Bayern ila Iwobi amewatuliza umehamia kwa Messi ,burudani ya hili jukwaa hata ukija na shombo mara nyingi unakaushiwa tu nashukuru umejibiwa kwa vitendo,tafuteni maneno mengine.
 
f83f7fe1bd00633cc3a379276a953a14.jpg

Wojo amekamilisha uhamisho wake kwenda Juventus baada ya miaka 11 ya kutoa huduma Arsenal ni kati ya zao la academy ya Arsenal.
Once a Goone,always a Gooner...best of lucky Wojo.
 
Nadhani ulikua unawazungumzia Bayern ila Iwobi amewatuliza umehamia kwa Messi ,burudani ya hili jukwaa hata ukija na shombo mara nyingi unakaushiwa tu nashukuru umejibiwa kwa vitendo,tafuteni maneno mengine.
Mmecheza na kikosi cha pili la sivyo mngepewa kama sio goli 8 bila
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hivi lacateze mechi tatu ana goli ngapi vile au bado mnamtaka na yule kinda wa monaco
 
Back
Top Bottom