Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu tumemkosa Lacazette lyon wametutolea nje offer yetu, wanataka £53m na bonus juu. Wanacheza na akili za Wenger hawa!
Unakumbuka babu alisemaje wakati tunatoka Highbury?! Ili tuweze kushindana na wenzetu, kina Man City, Chelski, Man U na wengineo, tumehamia Emirates, bank account imenona vibaya mno, sasa si ndio wakati wa kuzitumia au?!
Tuwe kama wenzetu, ukiifunguwa wallet toa tu, maana sana sana hizo hela wanatafuna shareholders na sio fans!
Hasira kabisa...
 
Hiyo biashara haitafanyika arsenal hawapendi kufanya deals zinazo husisha media kwani kila moves rais Wa Lyon anazitaarifu media. Abumenyang nipo striker bora kupigia lacazzate
 
Hiyo biashara haitafanyika arsenal hawapendi kufanya deals zinazo husisha media kwani kila moves rais Wa Lyon anazitaarifu media. Abumenyang nipo striker bora kupigia lacazzate
Tatizo Aubemeyang wale PSG wametangaza dau nono sana na kuna uwezekano mkubwa wakachukua, na kama unavyojua Wenger huwa sio mtu wa mashindano kwenye matumizi ya pesa.
 
Unakumbuka babu alisemaje wakati tunatoka Highbury?! Ili tuweze kushindana na wenzetu, kina Man City, Chelski, Man U na wengineo, tumehamia Emirates, bank account imenona vibaya mno, sasa si ndio wakati wa kuzitumia au?!
Tuwe kama wenzetu, ukiifunguwa wallet toa tu, maana sana sana hizo hela wanatafuna shareholders na sio fans!
Hasira kabisa...
Wapumbafu akina Kurenke na genge lake wao hawana muda na mataji wanacho jari ni financial gains tu mwisho wa msimu na ndio wanaomuweka pale Wenger kuna tetesi kuwa wameshawahi kumshawishi zaidi ya mara mbili kuongeza mkataba.

Hela ipo ya kutosha tu deni la kiwanja tulishamaliza kulipa, kilichobaki ni kiburi na ubahiri. Shwenziii kabisa.
 
Mkuu tumemkosa Lacazette lyon wametutolea nje offer yetu, wanataka £53m na bonus juu. Wanacheza na akili za Wenger hawa!
Huyo binafsi simkubali afadhali wametutolea nje! Hata Giroud aliyesa League A akaja arsenal alawa flat!
Mbappe ingekuwa poa ila nae kwa umri wake na dau haviendani!
 
69f3e51fb8bc84a1d25bfd08d021dbe8.jpg
 
Hiyo deal next week itakuwa imekamilika. Inabidi pale sasa tupate kiungo mkabaji mmoja maana ile kazi yule mswis haiwezi kabisa
 
Hiyo deal next week itakuwa imekamilika. Inabidi pale sasa tupate kiungo mkabaji mmoja maana ile kazi yule mswis haiwezi kabisa
Tulia mkuu, Xhaka ndio kwanza ana msimu mmoja kwenye EPL hauwezi ukahitimisha hivyo eti hawezi. Angalau tusubiri na msimu huu tuone itakuwaje, hata hivyo kwa mtazamo wangu mimi naona alijitahidi sana kuendana na kasi ya EPL. Nadhani ulimuona hata Matic msimu wake wa kwanza pale Chelsea alikuwa kama mgonjwa ila baadae akaja kuwa mpiga kazi mzuri tu.
 
Tulia mkuu, Xhaka ndio kwanza ana msimu mmoja kwenye EPL hauwezi ukahitimisha hivyo eti hawezi. Angalau tusubiri na msimu huu tuone itakuwaje, hata hivyo kwa mtazamo wangu mimi naona alijitahidi sana kuendana na kasi ya EPL. Nadhani ulimuona hata Matic msimu wake wa kwanza pale Chelsea alikuwa kama mgonjwa ila baadae akaja kuwa mpiga kazi mzuri tu.
Yule jamaa hawezi kuifanya ile kazi,yule ni box to box midfielder,aaah matic ule msim wa kwanza sote tulijua chelsea wamelamba dume,labda kama ulikuwa haufuatilii kwa ukaribu,
 
Yule jamaa hawezi kuifanya ile kazi,yule ni box to box midfielder,aaah matic ule msim wa kwanza sote tulijua chelsea wamelamba dume,labda kama ulikuwa haufuatilii kwa ukaribu,

Santi Cazorla amerudi kwenye mazoezi lakini umri unamtupa sasa ana miaka 32.

Kuna uwezekano wa kujaribu kumsajili Jorginho kutoka Napoli ya Italy ambae pia ni mgawa vyumba na "pass master" mzuri.

Alipoumia Cazorla msimu ulopita mambo hayakwenda vizuri kabisa na sasa anahitajika kabisa box to box midfielder.

Xhaka anaweza kazi ya kuhimili mikikimikiki ya pale katikati lakini anatakiwa mtu ambae anaweza kumudu mipira, kuigawa na akalengesha pasi kule zinakotakiwa ziende na ni Cazorla aliweza kazi hiyo na sasa Jorginho ameonekana anafaa.

Napoli wana wachezaji wa kiungo watano akiwemo nahodha Marek Hamsik, Alan, Piotr Zielinski na Amadou Diawara, hawa wote wanapokezana nafasi na Jorginho.

Hivyo Arsenal wakiweka mezani kama Euro milioni 13 hivi zinaweza kumjaribu kabisa Jorginho kufikiria kwenda Uingereza.

Arsene Wenger alisema kwamba anataka kusajili wachezaji watatu hivyo amebakia mmoja na haijulikani kama ni wa kiungo au ni mlinzi, tusubiri.
 
David ornstein wengi nadhani mnajua huwa hatoi taarifa ya uongo mara nyingi habari zake zinakuwa za kweli kwenye page yake amepost kuwa arsenal wanakaribia kumnasa lacazzete kila kitu wameshakubaliana yan klabu na mchezaj bado medical na kusaini tu.mm nimeshafunga mjadala wa lacazzete ni mali yetu huyu tayari namsubiri Thomas Lemar, niwakumbushe ornstein ndie aliyetoa habari za ozil, sanchez, debuchy, xhaka na zote zikawa kweli
ce0e7bb372cf2a3efff1bde1a20a6f18.jpg
 
David ornstein wengi nadhani mnajua huwa hatoi taarifa ya uongo mara nyingi habari zake zinakuwa za kweli kwenye page yake amepost kuwa arsenal wanakaribia kumnasa lacazzete kila kitu wameshakubaliana yan klabu na mchezaj bado medical na kusaini tu.mm nimeshafunga mjadala wa lacazzete ni mali yetu huyu tayari namsubiri Thomas Lemar, niwakumbushe ornstein ndie aliyetoa habari za ozil, sanchez, debuchy, xhaka na zote zikawa kweli
 
David ornstein wengi nadhani mnajua huwa hatoi taarifa ya uongo mara nyingi habari zake zinakuwa za kweli kwenye page yake amepost kuwa arsenal wanakaribia kumnasa lacazzete kila kitu wameshakubaliana yan klabu na mchezaj bado medical na kusaini tu.mm nimeshafunga mjadala wa lacazzete ni mali yetu huyu tayari namsubiri Thomas Lemar, niwakumbushe ornstein ndie aliyetoa habari za ozil, sanchez, debuchy, xhaka na zote zikawa kweli
Ornstein akisema ndo BBC.COM imesema ni super reliable
 
Kama Lacazette tayari tusubiri wengine, Mahrez vipi anachukuliwa?
 
Back
Top Bottom