Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Dakika ya 76
Arsenal 1-1 Chelsea
Arsenal 1-1 Chelsea
Hahahaha baba Jesca anabana sanaaaa,nawaombea dakika zikimbie tu
....RamseyMpaka hapa mmenyanyua kwapa labda muamue kupoteza game hongera in advance
Yaani nilinyong'onyea balaaa!!! Safi Arsenane!! Ninavyowashabikia sasa ole wako baadaye ulete maneno hahahaha!!!Pole sana aisee. Baba Jesca ni nomaaa anataka kuhakikisha ndoto yake ya Watanzania kuishi kama mashetani inatimia. 🙂🙂 dah! Jamaa wanasawazisha!
Hivi unaweza pata rafiki kama mimi!! Asiyekuwazia mabaya anayekutakia mema!! Sema tu kipenziii!! Nimekumissssss!!!Unakuja tu tukishinda![]()
![]()
![]()
Yaani nilinyong'onyea balaaa!!! Safi Arsenane!! Ninavyowashabikia sasa ole wako baadaye ulete maneno hahahaha!!!
Hahahaha...Sema "COYG" basiHivi unaweza pata rafiki kama mimi!! Asiyekuwazia mabaya anayekutakia mema!! Sema tu kipenziii!! Nimekumissssss!!!