Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

90min West Brom 3- 1 Gunners

Too bad, hawa washabiki koko wanawapa hata waamuzi kazi rahisi and then you cannot play like that. Prof tangu alipoanza kununua English players jahazi linazama. Walikuwa wanamlaumu anaweka 11 foreign payers. What next!
 
90min West Brom 3- 1 Gunners

Too bad, hawa washabiki koko wanawapa hata waamuzi kazi rahisi and then you cannot play like that. Prof tangu alipoanza kununua English players jahazi linazama. Walikuwa wanamlaumu anaweka 11 foreign payers. What next!
Khe khe khe kheeee hii kisingizio ya leo ni mpya aisee. Okay....

Ila leo sikutaka mfungwe sasa ona kesho man6 anaaicha nafasi yake pendwa
 
90min West Brom 3- 1 Gunners

Too bad, hawa washabiki koko wanawapa hata waamuzi kazi rahisi and then you cannot play like that. Prof tangu alipoanza kununua English players jahazi linazama. Walikuwa wanamlaumu anaweka 11 foreign payers. What next!
4c124cad8ae3d55d2038883a8c5b3beb.jpg
 
Kwa mwendo huu karibia mtafikia Mwamba wa mafuta,mnashuka kwa kasi sana wakuu.
 
Back
Top Bottom