BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Labda huu wa leo utakuwa msumari wa mwisho kuhakikisha Babu harudi msimu ujao. Maana hii kero sasa imeshavuka mipaka.
Najua ndugu yangu wacha tusubiri.
Najua ndugu yangu wacha tusubiri.
hahahah
![]()


Mnae huyo matajiri zenu hawana khabari na vikombe wenyewe vitabu vikisoma uzuri basi hawataki vikombe wala vijikoLabda huu wa leo utakuwa msumari wa mwisho kuhakikisha Babu harudi msimu ujao. Maana hii kero sasa imeshavuka mipaka.
Ingia kwenye google kwa kutumia kompyuta andika stream2watch then chagua moja wapo ila uwe na bando la kutoshawakuu mwenye link ya hii game asaidie nataka kuicheki hii game hata kupitia computer,nilipo ni mbali na sehemu ambayo naweza nikaona...
thanks mkuuIngia kwenye google kwa kutumia kompyuta andika stream2watch then chagua moja wapo ila uwe na bando la kutosha
wakuu mwenye link ya hii game asaidie nataka kuicheki hii game hata kupitia computer,nilipo ni mbali na sehemu ambayo naweza nikaona...