Nilimwambia Gunners mwenzangu jana tukipigwa 4-0 sitashangaa. Sasa yamekuwa kweli.
Kiufupi tu kwamba arsenal umefika muda sasa tu forego hiyo champions league na turudi kutafuta heshima EPL kwa nguvu...tukisema tuendelee kuitolea macho hii michuano we have to expect the same story over and over!!
Ila siku hizi mbili hawa washambuliaji hawakuwa na nia njema na walinda milango ukiangalia hiyo kisha zile mbili za Di Maria unaona nia yao ilikuwa ovu kuwachomoa mbavu walinda milango.
Na imani yako itakuponya.YESU NITIE NGUVU NIMALIZE MWENDO SALAMA
![]()
yani ungeonaga anavyonichokoza acha tu, ila nimekumiss.wewe mchokozi lakini...
![]()
jana ni jumatano ndiyo maaana kapigwa 5.Kwahiyo Arsenal jana waliona juzi Barcelona kafaiiiidi... Yani binadam bana wasione umepata![]()
dah maskini Wenger, haustahili kabisa hicho kipigo. pole jamani.Nachikia harufu mbaya...
![]()
No....Barcelona ilikuwa jumaNNE Arsenal kacheza jumaTANO.....Kwahiyo Arsenal jana waliona juzi Barcelona kafaiiiidi... Yani binadam bana wasione umepata![]()
Pole dada yangu...sijui ile wine uliimaliza au ilikumaliza wewe maanake 5.1 home theatre sound system si mchezo!![]()
![]()
![]()
Karibu sana mkuu,muda huu naandaa wine kabisa
![]()
Mistake gani kafanya kipa kwenye hilo goli la kwanza? Nionavyo mimi kosa kafanya Coqlin kumruhusu Robben aingie ndani na mguu wa kushoto wakati kila mtu anajua Robben huwa anataka na atafanya nini kutokea wing ya kulia.11min Munchen 1 - 0 Gunners .... Ospina mistake ....
Shida yake kipa avunjike mbavu Di Maria nae alifanya hivyo hivyo kwa barca kiukweli jana nyanda kafuta nyingi wangepewa zaidi ya wiki.Mistake gani kafanya kipa kwenye hilo goli la kwanza? Nionavyo mimi kosa kafanya Coqlin kumruhusu Robben aingie ndani na mguu wa kushoto wakati kila mtu anajua Robben huwa anataka na atafanya nini kutokea wing ya kulia.
Lete source ya khabari hiyo vinginevyo ni uchokozi kwanza tumekaa sana huku turudi kwetu ndugu zangu wafiwa wa naendelea vizuri.Nasikia Board inataka kumuongezea Wenger mkataba wa miaka 3.
Asern8 kuweni wapole tu
Faida kubwa moja wapo ya kushabikia Arsenal hauwezi kuwa heartbroken kwenye mahusiano hata siku moja... Yaani pale demu wako anapojaribu kukuumiza kihisia ni kama vile ana twanga maji kwenye kinu.Ahsante sana. Ukishazoea vipigo kama hivi hata moyo na akili vinakuwa sugu maana vyote vilishajiandaa kwa kipigo kitakatifu. Imekuwa kawaida sasa na kawaida ni kama sheria tukitoa pua na Bayern au BARCA basi ni mkong'oto wa kufa mtu. Bora hata sikuangalia hii mechi.