Wenger In
Nyie ni wazee wa Top4 tu, ndio mnachokifahamWenger tuachie timu yetu ni kubwa kuliko wewe
Munchen 5 - 1 Gunners return leg Emirates .... ... .
Pengo la kuumia Kos limeonekana. We will see them at Emirates, Ozil missed a sitter, they have an advantage but anything can happen in football. If any team can win its the Gunners watch this space.
Kwa nini awaachie timu wakati kuku anaowafuga wanatotota mayai mengi tu. Leo wamewapeni mayai 5 au mlitaka zaidi ya mayai 5?Wenger tuachie timu yetu ni kubwa kuliko wewe
Wenger anashiriki ili kupata fedha tu za UEFA sio kwa ajili ya kushinda kikombe.Teh teh teh teh teh... Poleni wana_Arsenal, bora muachage kushiriki tuu UEFA.
Arsenal ni sawasawa na Yanga tu. Hawa, hawana jipya kwenye mashindano ya kimataifa, yaani wanaridhika kupanda ndege tu na kuwa wasindikizaji mwaka nenda mwaka rudi.