It's gonna be 7th time in succession no quaterfinal and we campaign in every season ...yanini sasa?
Yaani tuongeze kundi, tusiongoze na kupita kama best loser destination yetu ni ile ile, huoni ni kujichosha huko bila kuambulia chochote zaidi ya hasara tu huku kwenye michuano ya ndani kutokana wasteful reserved energy?
Mi naona hata msimu hujao tusipo shiriki hii michuano itakuwa ni advantage kubwa sana kwa sababu tuta converge efforts zote kuzielekezea kwenye michuano ya ndani na kwa kufanya hivi hakika hatuwezi tukakosa hata kimoja kati ya vyote vile...!!
Arsenal ina matatizo mengi tu na kubwa hasa ni kuwa na kikosi chenye wapambanaji wachache unao weza kuwategemea kwenye hatua kama hii.
Kingine Arsenal ilishapoteza momentum kwenye haya nashindano kutokana na hizi early eliminations... Unajua kwenye haya mashindano kadri unavyokuwa unasonga mbele ndio hata confidence na adamancy kwenye timu zinaimarika na unajikuta na wewe unakuwa mgumu automatically. mfano timu kama Atletico madrid sasa hivi inauwezo wa kupambana dhidi ya timu yoyote ile na pakachimbika wala hawawezi kutolewa kizembe, misimu kadhaa ya hawakuwa hivi. Arsenal hata angepangwa na Benfica bado ngoma ingekuwa tough tu si unakumbuka monaco!?
Kiufupi tu kwamba arsenal umefika muda sasa tu forego hiyo champions league na turudi kutafuta heshima EPL kwa nguvu...tukisema tuendelee kuitolea macho hii michuano we have to expect the same story over and over!!