MkuuBinafsi naona hii michuano haina maana yoyote kwetu.
Na hata msimu huu haina haja ya kutumia nguvu nyiingi eti tumalize tukiwa nafasi ya nne... Yaani haina maana kabisa.
Kabisa-Kabisa!Arsenal is overrated. They have too many average players.
Sioni arsenal hii ikifika popote kwenye michuano yeyote na kikosi hiki..
Timu yangu ni mbovu kila dept. Ni aibu kubwa kwa timu ya EPL kupigwa idadi ya magoli kama hii karibu kila mwaka kwenye UEFA ama na BARCA au Bayern Munich. Waswahili walisema BURE GHALI!
Naona Saizi Majirani washausoma Upepo wa Arsenal,Manaake Familia nzima inawezakupotea hivi-hivi.Kwa jinsi ninavyowajua majiran zetu wakenya kwa kipigo hiki cha Arsenal.. sidhani kama Israeli leo atakua mbali na kisumu, mombasa na viunga vyake vyote..
It's gonna be 7th time in succession no quaterfinal and we campaign in every season ...yanini sasa?Mkuu
Umekata tamaa kabisa..?
Kwani tatizo haswa au mapungufu unayaona yako sehemu zipi (The gunners).
pole sana.Timu yangu ni mbovu kila dept. Ni aibu kubwa kwa timu ya EPL kupigwa idadi ya magoli kama hii karibu kila mwaka kwenye UEFA ama na BARCA au Bayern Munich. Waswahili walisema BURE GHALI!
pole sana.