Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Habari zinasema Mourinho anataka nafasi ya 4 kwenye ligi ili kulazimisha Wenger ajiuzulu.
FB_IMG_1486998911440.jpg
 
Aiseee Barca kapigwa 4 sifuri na PSG ..... ....... ...... mshindi wa pili kwenye kinyang'anyiro kwenye group matches .... . na Gunners.
 
Aiseee Barca kapigwa 4 sifuri na PSG ..... ....... ...... mshindi wa pili kwenye kinyang'anyiro kwenye group matches .... . na Gunners.
Barca Baada ya Frank na Gadiola sio Barca tena wanatembea kwenye kivuli chao. Hata sisi tukiwa seriuos hasa Babu kwa namna ya kucheza kwa kuangalia mpinzani wetu Barca ana kufa mengi tu. Sema Babu mkorofi anaamini mbinu zake tu bazo hazifanyi kazi tena bila kujua mbinu za adui
Wenger anasema haondoki mpaka afukuzwe.

Link Arsene Wenger: I gave no indication on Arsenal future
 
Niko pamoja na gunners sijawai kuissuport team nje ya EPL kila la heri wawakilishi
 
upload_2017-2-15_19-10-39.png


[HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]

Nimeambiwa wazee wa Ali Hamisi wapo wanachungulia khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

 
upload_2017-2-15_19-28-32.png


Acheni lote with the professor ....... ..... .... ........ . .....
 
Back
Top Bottom