mchome jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 599
- 748
Habari zinasema Mourinho anataka nafasi ya 4 kwenye ligi ili kulazimisha Wenger ajiuzulu.
Habari zinasema Mourinho anataka nafasi ya 4 kwenye ligi ili kulazimisha Wenger ajiuzulu.
Barca Baada ya Frank na Gadiola sio Barca tena wanatembea kwenye kivuli chao. Hata sisi tukiwa seriuos hasa Babu kwa namna ya kucheza kwa kuangalia mpinzani wetu Barca ana kufa mengi tu. Sema Babu mkorofi anaamini mbinu zake tu bazo hazifanyi kazi tena bila kujua mbinu za aduiAiseee Barca kapigwa 4 sifuri na PSG ..... ....... ...... mshindi wa pili kwenye kinyang'anyiro kwenye group matches .... . na Gunners.
Jamani leo tutakuwa pamoja kumkabili Bayern Munich...
Karibu sana mkuu,muda huu naandaa wine kabisa 
