Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ohhhhh!!! Moyo wa kipenzi changu hiki tafadhali sukuma damu yake na si mengine!!! Unaona sasa amekufa na kazikwa yeleuwiiiiiiiiiiii mume wangu nitakuona wapi mie!!!!...... mimi nakwambia achana na Wenger unekazana eti moyo mashine ushapenda na nisikuulize umependea nini? Unaona sasa umedead yeleuwiiiiii!!!!!!!
Kipenzi mbona ukapotea hivyo, ujue nikifungwa stress zangu unanisaidia kuzimaliza. Hawa chelshit noma sana!!
 
69941372f34ded0a049d7826f41ff038.jpg
Hicho ni kikombe.
Wanataka vikombe....
 
Kunawatu wanafunga magoli makali kama scorpion ya OG,mkitha au bicycles kick ya Carroll lakini Hazard anafunga goli la msimu sio kwa kuwatesa washika mishale
 
Kipenzi mbona ukapotea hivyo, ujue nikifungwa stress zangu unanisaidia kuzimaliza. Hawa chelshit noma sana!!
Nipo kipenzi,pole sana kipenzi na hili nalo litapita jipe moyo......hawa Chelshit wamekuwa Mr misifa achana nao mwenyewe siwapendi kama nini,twende zetu kipenzi nikakupe mapenzi mubashara chaaaaaaa!!! Unajua nilichanganyikiwa ulivyosema umedead
 
Jamani mimi ndo mkusanya rambirambi. Ule msiba uliotokea Emirates kwa kupigwa na Watford. Marehemu kazikwa leo Stamford Bridge. Huenda matanga yakaendelea kwa wiki moja zaidi nyumbani kwake Emirates pale ambapo ndugu zao kutoka jiji la Manchester watakapowasili kutoa salamu zao za rambirambi.
Sasa Mimi niliwambia sio vizuri kuambatanisha misiba tatizo nyumba hii inawagonjwa wengi kweli ,hull city atakuja na sindano ya sumu kummalizia mwingine kateseka sana
 
Hili goli la hazard j3 nikienda darasani atakayeniambia lilifungwaje nampa maksi 30 hakuna Kusupp maadili nayaweka mfukoni kama kante anavyowafanyia wenzake kwani nini
 
Wandugu i know most of U are disappointed na matokeo ya Watford,

Wengi tulitegemea ushindi na ungekuwa wa muhimu kwa kuamsha hari ya game dhidi ya Chelsick.

Mimi niko tofauti kidogo wala sina shaka. Yes they are stable na wana nafasi ya kushinda mechi ya kesho coz wako kwenye state ya hari ya kimchezo hiyo ni advantage.

But nina imani Gunners tunaweza kutumia hasira za mechi iliyopita in a positive way to win the game kama Wenger can get a gud use of that kuwapa wachezaji morale na hili naliona. Its very rare kukuta hata kwenye website ya arsenal hakuna updates za maandalizi ya game inayokuja ukizingatia ni big match.
Hii inanipa picha kuna kitu wenger anakipika bila kutaka kuwaamsha hawa majirani bado namuamini huyu babu. Mechi ya kesho huwezi kamwe kusema inatoa picha ya ubingwa bali inakusogeza karibu na upingwa. Bado nina imani tutashinda.
With chalenge ya midfielders ikifanyiwa kazi vyema nauona ushindi bado.
Pole kwa kipigo
 
Nipo kipenzi,pole sana kipenzi na hili nalo litapita jipe moyo......hawa Chelshit wamekuwa Mr misifa achana nao mwenyewe siwapendi kama nini,twende zetu kipenzi nikakupe mapenzi mubashara chaaaaaaa!!! Unajua nilichanganyikiwa ulivyosema umedead

Hata wakati the special one akiwa chelsiki ulikuwa unamnaga sana siku hizi mnae.

Unanikumbusha demu anavyotongozwa na mwanaume fulani halafu anamnaga eti hafai kuwa mume wangu, siyo type yangu.

Baada ya miaka mitatu hivi unakutana nae wameshaoana na wana mtoto. Ukimwuliza vipi tena mbona ulisema siyo type yako anakujibu "hayakuhusuuuuuu".
 
Back
Top Bottom