ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,383
- 118,813
Kipenzi mbona ukapotea hivyo, ujue nikifungwa stress zangu unanisaidia kuzimaliza. Hawa chelshit noma sana!!Ohhhhh!!! Moyo wa kipenzi changu hiki tafadhali sukuma damu yake na si mengine!!! Unaona sasa amekufa na kazikwa yeleuwiiiiiiiiiiii mume wangu nitakuona wapi mie!!!!...... mimi nakwambia achana na Wenger unekazana eti moyo mashine ushapenda na nisikuulize umependea nini? Unaona sasa umedead yeleuwiiiiii!!!!!!!![]()
![]()
![]()
![]()

