Lipia tu mkuu. Husiwakoseshe wengine rahaYaani nyie Arsenal mnaumiza sana .silipii tena dstv kuangalia mpira
Nsha mwambia mke wangu akizimilie mbali awashe zuku tu.wataniua hawa ArsenalLipia tu mkuu. Husiwakoseshe wengine raha
Aseno the maandaz mnawaza ubingwaSisi ni midabwada 2 goals in a span of 3 minutes!? Nilidhani points 3 leo ni za uhakika. Kipigo kingine tutakipata Jumamosi na hivyo kupunguza kama si kuondoa kabisa matumaini ya kutwaa ubingwa.
aisee kweli ukistaajabu ya Asenane utayaona ya Watford

Aseno the maandaz mnawaza ubingwa![]()
aisee kweli ukistaajabu ya Asenane utayaona ya Watford
![]()
![]()
![]()


Jumamosi...Hili jukwaa mnaanua matanga lini maana si vizuri tuunganishe misiba