Abuu Said
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 4,009
- 4,769
Na bado tutamuuzia nafasi ya 6 mwaka huu wakesiyo kufungwa tu bali karudi nafasi ya 4 . khe kheeeeeeeeee
Na bado tutamuuzia nafasi ya 6 mwaka huu wakesiyo kufungwa tu bali karudi nafasi ya 4 . khe kheeeeeeeeee
ah everton nae anakuja kwa kasi, anaweza kuchukua nafasi ya everton. wenger hanaga mchezo .Na bado tutamuuzia nafasi ya 6 mwaka huu wake

na mwez bado mbichi sana.Leo babu kanikosha na kikosi..naona katupia kilekile kilichomnyoa kanga manyoya last time

Babu asiondoke aendelee kuleta utulivu mitaani.Kuna mtu nilimwambia humu feb hiyo nyakati za mashabiki wa arsenal kuanza kumbebea wenger mabango umefika akabweka sanana mwez bado mbichi sana.
Najaribu kuvuta picha huzuni uliyo kuwa nayo wakati unaandika bandiko hili kisha ukakubali matokeo na kujiridhisha ili usiumize nafsi yako zaidi. Pole sana ndugu.tumeshakaa pale kwenye nafasi yetu isiyokuwa na presha.
Huyu mzee atafia hapo jamani sio kwa uchungu huu.
Mimi sioni sababu ya Gunners kupiga kelele hasa kwa Wenger, Arsenal wanajua kabisa miezi hii nafasi yao inapaswa kuwa hipi? Hivyo mnatakiwa kuhakikisha kuwa man haji hapo mlipo
Ina maana wamejibinafsisha nafasi hiyo?
Kuna gazeti nimesoma kichwa cha habari Ozil amefukuzwa Arsenal. Kuna ukweli wowote katika hili au udaku tu at workView attachment 468947
Mohamed Elneny is back from African Cup .... ... ..
View attachment 468948
Granit kamaliza kifungo chake .... ...
Majungu tu hayo, timu pinzani wanamwogopa. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeKuna gazeti nimesoma kichwa cha habari Ozil amefukuzwa Arsenal. Kuna ukweli wowote katika hili au udaku tu at work