Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,211
sare itakuwa safi sanaaaaa.Matokeo ya mechi hii ni muhimu sana kwetu(watoke sare ama mmoja wao afungwe) Inabidi tujitahidi tuwafunge Wolves Imarati,tukishinda mechi ijayo itatusadia kupunguza gap na kumkaribia yeyote atakayefungwa Jumapili,wakitoka sare tutakuwa tumepunguza gap la point 2...Hahaaaaaaaaa
Sijauona mpira wa leo mkuu, lakini hakuna mbaya point mbili advantage ndiyo imeporonyoka hiyo six games to go. Lakini si unamfahamu Howard Webb ... ....
Come on Gunners ... .... ...
namjua howard webb lakini leo wenyewe tu uzembe wetu hatujui kupoteza mda kwenye injury time kama zile.
Najua tu Howard Webb amewaonea sana leo ingawa sijauona mpira, mlistahili ushindi.leo mkuu tumeuza ushindi mkubwa sana hakuna kingine zaidi ya uzembe.
sio uzembe, ni hofu ya barca. mawazo yote yalikuwa jumatano. hata listi ilipangwa kwa kuzingatia hilo - utamwekaje nasri benchi! na eboue akae nje muda wote! wenga kacheza kamari mbaya sana leo!
Poor Wenga!
He's actually a Whinger, kama walivyo majority ya -"tunaonewa"- washabiki wa fat Arse!Poor Wenga!
kwahio unasema tume sacrifice premier league kwa ajili ya champions league?
It's another game, Arsenal playing against Birmingham City. Leo tunawashinda tu hata kama Barca ha wanasafiri kuja kwetu. Tutashinda tu leo, siwezi tabili magoli mangapi
One of the few honest Arsenal fans, majority would say Howard Webb robbed you even if they didn't watch the game! Big up C!Ndio maana yake. Wenga alijidai prayoriti itakuwa kwenye gemu la leo. Halafu akapanga listi ya ajabu - hakuna Eboue, Nasri na Asharvin na muda aliowaingiza hao wawili ulikuwa ni muda wa hatari sana. Kumbuka majamaa walishagonga besela kabla hata ya Nasri hajatunusuru. Hivyo ilikuwa ni haki yao kabisa kusawazisha hasa baada ya sisi kukosa magoli ya wazi! Timu ilikuwa legelege (lethargic) kuanzia kapteni Fabregasi mpaka kipa Almunia maana walikuwa wanamuwaza Lionel 'The Flea' Messi! Mtu pekee wa maana uwanjani alikuwa Alaxandre Song!
Even Barca believe in God, they are actually coming from a Christian Nation.WENGER INTERVIEW
On Cesc Fabregas' injury...
"I don't know medically. We will have to assess that tomorrow. He got tackled at the knee. We tried to take him of at first but after he said he was alright."
On if he will miss the Barcelona game...
"I don't know."
On leaving Nasri and Arshavin on the bench...
"Arshavin had a groin problem and Nasri had a knee problem from the last game."
On where the result leaves Arsenal in the title race...
"It is a big blow for our title, of course. We were in a position where we had to win all our games and not to win today is a big blow to our chances."
Kwa namna hii sidhani kama tutashinda game ya J'tano, majeruhi kibao.Lakini kwa nguvu za Mungu tutashinda 2-1 hiyo j'tano.
Ha ha ha ha sasa wote tukimtegemea Mungu na imani atamchagua aliye mnyonge.We are trophless kwa mda mrefu kwa hiyo Mungu atatusikia zaidi , Arsenal 2-1 BarcaEven Barca believe in God, they are actually coming from a Christian Nation.
I'm watching MOTD, kweli naona Howard Webb "amewaonea" sana! You need to find your own referees.
Robin Van Persie
March 25
Robin has been out since November after suffering ankle ligament damage during an international friendly against Italy and Arsène Wenger believes he could return to training soon. "I think he will be back [at the Club] this week," said the manager after the win over West Ham. "We sent our fitness coach out to Holland where he has been having his rehabilitation. Physically he looks very sharp but we aim at least to wait a month."
Currently Active Users Viewing This Thread: 10 (5 members and 5 guests)
Balantanda, Wacha1+, Abdulhalim, Baba Mkubwa+, Ng'wanza Madaso
Mpemba kalale bana...Naona ng'adu kwa ng'adu na sisi...Hahahaaaaaaaaa
Currently Active Users Viewing This Thread: 4 (2 members and 2 guests) Abdulhalim, Balantanda
Matokeo mazuri kwetu katika mechi ya J`mosi kati ya Chelsea na MANU ni hizi timu kutoka sare ya 0-0 na sisi tukiwapiga bao wale Wolves basi tutakuwa tumerudidha tena matumaini ya kuibuka kidedea ambayo jana yaliathirika kidogo.