Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jirani pole sana! Lakini mbona husemi kama na wewe bado una game na Tottenham, Blackburn na Man City? Au kwenu hizo ni game nyepesi kama ya Birmingham?

Asante...hapana,nilitaka tu kumuonesha Mpemba jinsi aisvyo sahihi kusema kwamba hatupo tena kwenye title race,ndo maana nimemwambia kwamba bingwa atajulikana May,hao Man Utd na Chelsea(ambao tayari keshawapa nafasi ya ubingwa) nao wanaweza kuteleza(football is a game of chance bana na si porojo mingiiii),kwa mfano Jumapili ijayo Man Utd anacheza na Chelsea na sisi Jumamosi tunacheza na Wolverhampton...Matokeo ya mechi yenu na Man Utd yanaweza yakatusadia sisi kupunguza gap(Chelsea wanatuzidi point 3 na endapo Man Utd watashinda leo watatuzidi point 4),hiiitatokea endapo Man Utd au Chelsea atafungwa.....So hata sisi tuna game ngumu mkuu,lolte laweza kutokea katika game hizo(hata za Man Utd na Chelsea)....Hivyo ni vigumu kuanza kusema Arsena ubingwa bye bye...Pamoja jirani
 
Dose ndio kama hivyo yaenda ikiongezeka kutoka 5 mpaka 7, lakini itabidi tuwapunguzie dose Manure maana si wagonjwa sana! Hahahahaha!

Binafsi nawaombea mshinde game hii(naomba msije mkawa kama Liverpool)
 
Mafia wa darajani wamenunua mechi ili waje waibuke kwadiffernt ya magoli,sie tutachukua point tuu.
 
Birmingham-v-Arsenal-Arsene-Wenger-fourth-off_2436136.jpg


Arsene Wenger makes his point to the fourth official at St Andrews.
 
Birmingham-v-Arsenal-Cesc-Fabregas-knock_2436143.jpg

Arsenal captain Cesc Fabregas takes a knock at St Andrews.



phillipsx_682x400_1013836a.jpg


LATE SHOW ... Kevin Phillips 90th minute freak goal dented Arsenal's title challenge
 
hivi almunia pale alikuwa anataka kuufanyaje ule mpira?


Sijauona mpira wa leo mkuu, lakini hakuna mbaya point mbili advantage ndiyo imeporonyoka hiyo six games to go. Lakini si unamfahamu Howard Webb ... ....
Come on Gunners ... .... ...
 
Sijauona mpira wa leo mkuu, lakini hakuna mbaya point mbili advantage ndiyo imeporonyoka hiyo six games to go. Lakini si unamfahamu Howard Webb ... ....
Come on Gunners ... .... ...
namjua howard webb lakini leo wenyewe tu uzembe wetu hatujui kupoteza mda kwenye injury time kama zile.
 
I hope RVP atakuwa available next weekend, Arshavin amepoteza quality yake sijui ni nini Walcott naye naona bado kurudi kwenye form yake. Wachezaji wanahitaji kuwa more aggresive. Nafikiri pengo la Varmelan vile vile leo lilichangia.

BTW fabregas kama aliumia kwa nini alicheza do you know?
 
sio uzembe, ni hofu ya barca. mawazo yote yalikuwa jumatano. hata listi ilipangwa kwa kuzingatia hilo - utamwekaje nasri benchi! na eboue akae nje muda wote! wenga kacheza kamari mbaya sana leo!
 
sio uzembe, ni hofu ya barca. mawazo yote yalikuwa jumatano. hata listi ilipangwa kwa kuzingatia hilo - utamwekaje nasri benchi! na eboue akae nje muda wote! wenga kacheza kamari mbaya sana leo!
mkuu huo mchezo kama umefuatilia miaka nenda rudi ndio unatupotezeshea makombe.

nasema uzembe kwa vile kuwapumzisha nasri na arshavin ilikuwa isha work out baada NASRI kufunga goli.Uzembe wetu ni kushindwa kuwa makini dakika chache za mwisho kuweza kuchukua ushindi wetu.

kama tukiendelea kutetea kwamba champions league ndio inatuchanganya basi hatutapata kombe milele kwani hata miaka ya nyuma ndio tumejikuta tuko kwenye nusu fainali ya makombe yote na mwisho tunaondoka patupu.
 
sio uzembe, ni hofu ya barca. mawazo yote yalikuwa jumatano. hata listi ilipangwa kwa kuzingatia hilo - utamwekaje nasri benchi! na eboue akae nje muda wote! wenga kacheza kamari mbaya sana leo!
kwahio unasema tume sacrifice premier league kwa ajili ya champions league?
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 10 (5 members and 5 guests)
Balantanda, Wacha1+, Abdulhalim, Baba Mkubwa+, Ng'wanza Madaso

Mpemba kalale bana...Naona ng'adu kwa ng'adu na sisi...Hahahaaaaaaaaa
 
Msisahau kitu kimoja Manure na Chelsick hawakupata ushindi zaidi ya wetu walipokwenda kule kwao. Nimesoma hapa Arsene analalamika kwamba uwanja wao ni mbovu mbovu tu kama wa Chelsick. Ngoja niangalie ngoma sasa.
 
Hawezi kwenda lala huyo, we ngoja next weekend kama hawatatoka suluhu kuna moja atalia chozi la damu

Matokeo ya mechi hii ni muhimu sana kwetu(watoke sare ama mmoja wao afungwe) Inabidi tujitahidi tuwafunge Wolves Imarati,tukishinda mechi ijayo itatusadia kupunguza gap na kumkaribia yeyote atakayefungwa Jumapili,wakitoka sare tutakuwa tumepunguza gap la point 2...Hahaaaaaaaaa
 
Msisahau kitu kimoja Manure na Chelsick hawakupata ushindi zaidi ya wetu walipokwenda kule kwao. Nimesoma hapa Arsene analalamika kwamba uwanja wao ni mbovu mbovu tu kama wa Chelsick. Ngoja niangalie ngoma sasa.
mkuu kinachokera hapa ni kwamba mpaka dakika ya 90 tunaongoza 1-0. zile 3 extra minutes tungekuwa makini kutokana na umuhimu wa mechi tungepata point 3.

mie nadhani tunahitaji kuwa more aggressive kama tunataka vikombe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom