Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hakuna game rahisi wakati huu wa ligi,kila mtu anapigania nafasi nzuri.

Naam AW huo ndiyo ukweli wa mambo. Katika mechi hizi chache zilizobaki ukidharau mechi tu kutokana na position ya team unayocheza nayo katika league unaweza kujuta.

Mechi zote zilizobaki ni ngumu. Nasikia Van Persie anakaribia kurudi kama ni kweli basi anaweza kusaidia kuongeza nguvu katika mechi zilizobaki na labda kwenye UEFA. Go GUNNERS Go!
 
Hii game itakuwa tough sana kwenu

...nami machale yananicheza. 🙁
ugumu wenyewe utatokana na injuries, au 'phobia' ya injuries kwa wachezaji wetu...

Wajinga sana hawa 'Brummies', there's nothing to lose lakini kwakuwa ni Arsenal watachezea sifa!
 
na nyinyi hao bolton wanaweza kuwaliza hiyo kesho.
Owen-Coyle-Everton-v-Bolton_2433617.jpg

Owen Coyle - big Ferguson fan.
FERGUSON TEACHING COYLE SO MUCH
By Ian Parkes, Press Association Sport

"He's been terrific for me. Anytime I've needed a bit of advice, he has been there, and I've a lot to thank him for.​


"I don't think I've a better relationship with him than anybody else, but what I do know is, if I need any advice then he is there for you, and that's a measure of the man and the quality he has."​

- Bro Shadow,

Game hii Manure weshashinda hata kabla hawajaingia uwanjani. Mambo ya "scratch my back and I will scratch yours!"
 
...nami machale yananicheza. 🙁
ugumu wenyewe utatokana na injuries, au 'phobia' ya injuries kwa wachezaji wetu...

Wajinga sana hawa 'Brummies', there's nothing to lose lakini kwakuwa ni Arsenal watachezea sifa!

Ndo raha ya mpira ati 😀
 
...nami machale yananicheza. 🙁
ugumu wenyewe utatokana na injuries, au 'phobia' ya injuries kwa wachezaji wetu...

Wajinga sana hawa 'Brummies', there's nothing to lose lakini kwakuwa ni Arsenal watachezea sifa!
Kwanza mko ugenini na hao jamaa ni wakali then tarehe 30 mnacheza na Barca huenda Mr Bean akapumzisha baadhi ya wachezaji
 
Rossoneri.

...aaaaah, 'wafu' wale?!

Past their 'Best by Date!' wamebakia vikongwe tu kina Seedorf na 'obese' Ronaldinho. No wonder Beckham anajua hakuna competition ya namba pale...😀
 
Kwanza mko ugenini na hao jamaa ni wakali then tarehe 30 mnacheza na Barca huenda Mr Bean akapumzisha baadhi ya wachezaji

...naaam, acha kina Estmond wajipatie uzoefu nao.
 
eduardo-da-silva-arsenal-birmingham-injury-5.jpg


...a COWARD with a grinning face...it's showtime, we're up for a Sweetest revenge!!!!, BRING THEM ON!!! 😡😡😡!!!
 
Kwanza mko ugenini na hao jamaa ni wakali then tarehe 30 mnacheza na Barca huenda Mr Bean akapumzisha baadhi ya wachezaji


Hata ugenini pia tumeshazichapa teams nyingi tu hivyo mleo ushindi ni kama kazi maana vijana wanajua kwamba lolote lile linaweza kutokea kati ya sasa na May na hatimaye kuutwaa ubingwa wa EPL. Labda marefa waanze kutuuma ili kuibeba MANY kama kawaida yao 😉 Go! GUNNERS Go!
 
It's another game, Arsenal playing against Birmingham City. Leo tunawashinda tu hata kama Barca ha wanasafiri kuja kwetu. Tutashinda tu leo, siwezi tabili magoli mangapi
 
Possible starting XIs

Birmingham: Hart, Carr, Johnson, Dann, Ridgewell, Bowyer, Ferguson, Fahey, Gardner, McFadden, Jerome.
Arsenal: Almunia, Sagna, Campbell, Silvestre, Clichy, Nasri, Fabregas, Song, Rosicky, Arshavin, Bendtner.
............sky sports
 
Possible starting XIs

Birmingham: Hart, Carr, Johnson, Dann, Ridgewell, Bowyer, Ferguson, Fahey, Gardner, McFadden, Jerome.
Arsenal: Almunia, Sagna, Campbell, Silvestre, Clichy, Nasri, Fabregas, Song, Rosicky, Arshavin, Bendtner.
............sky sports
kikosi kamili kinachoanza kishawekwa mkuu hiki hapa

Almunia, Sagna, Campbell, Diaby, Clichy, Denilson, Song, Walcott, Fabregas, Rosicky, Bendtner. Subs: Fabianski, Nasri, Eduardo, Vela, Arshavin, Eboue, Traore

naona kawapumzisha arshavin na nasri kusikilizia mambo yataendaje,ni risky kubwa but "Arsene knows".Kitu ambacho sijapenda ni walcot kuanza bora eboue angeanza pale,kitu nisichopenda hapa ni kwamba tunapocheza walcott huwa tuna force long balls nyingi kwake na mara nyingi zinakuwa waste.kitu kingine birmingham wako too physical sidhani kama WALCOTT atawamudu let him prove me wrong.

zaidi ya hapo wakati tunashangilia timu yetu tusisahau kusindikiza na dua kama kawaida.

goood luck to our team.
 
Jamaa Chelsea wapo mbele kwa magoli mawili kwa moja......leo kunaulazima wa kushinda vinginevyo hari itakuwa si nzuri akina chelsea na MU wakishinda
 
too tough to break through,fabregas naona hatoweza kurudi hapo anaweza kumleta nasri.walcott nae hatoke game ngumu kwake haje eboue,rosicky nae ampishe arshavin.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom