Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Maombi yangu kwa liver..wasijaribu kuiachia mechi na hawa wajenzi wa daraja pamoja na kupoteza mechi nne mfululizo
 
Nina imani liver watarudi mchezoni..wakimuondoa huyu kiumbe point tatu na sisi tukamuondoa tatu basi ni mwororo
 
e696d0ede0715e6b8da4a3acf9615c44.jpg

Ok it's ya turn Steve Bould,unatakiwa uongoze jahazi kwa game 4 zinazofuata kuanzia leo simply sina shaka na uzoefu wako upo Arsenal kwa miaka lundo we (Arsenal) got ya back old man show us what u got.
For the brave nothing is difficult..COYG
Shida anaweza kuwa TV remote ikaendelea kufanya kazi tokea jukwaani

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Angalia kushoto ya picha baina ya shavu la Wenger na koti unaona nini? Remote au microphone?link Arsenal Special Thread
 
Sema tena nafikiri matokeo ya FA umeyaoata Arsenal kashamuua mtu vibaya sanaa.
 
upload_2017-1-30_21-20-58.png


Sutton's Gander Green Lane has a capacity of 5,000 compared with Arsenal's 60,000

''Non league side Sutton, the lowest side left in the draw, kept it simple.''

Away game FA cup itchezwa Gander Green - uwanja wa nyumbani wa Sutton.
TV money itawasaidia kidogo .... .... .
 
upload_2017-1-31_16-38-30.png


upload_2017-1-31_16-40-12.png


EPL tunakwaana na Watford .... ... ... . Emirates. 19:45 GMT
[HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]
 
leo liver anamkalisha mtu jamani angalizo Chelsea wakifa hatutaki visingizio
 
Back
Top Bottom