Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Poleni bandugu naona mnafanyiwa uharamia,lakin mpira si ni dk 90? Basi twangoja
 
c70143b11a59ff4ffd880eacc67383ac.jpg

Labda na leo muongezewe dk 10 na kupewa penalty za offside dk za majeruhi ndo mtapona kichaa chenu cha mbeleko


 
View attachment 465508

Sutton's Gander Green Lane has a capacity of 5,000 compared with Arsenal's 60,000

''Non league side Sutton, the lowest side left in the draw, kept it simple.''

Away game FA cup itchezwa Gander Green - uwanja wa nyumbani wa Sutton.
TV money itawasaidia kidogo .... .... .
Wacha1. Naona umeisha kazwa 2 za faster
 
Kheee kheeeee kheeeeee pole mkuu
Marehemu mtarajiwa ni jirani yangu kabisa aisee. Yani tunaombana chumvi na sukari. Juzi tu nimempa kipa wangu...sijajua shida hasa ya jirani yangu huyu.

Ila asante bana msiba wa jirani msiba wangu...sisi ndo waafrika, kwenye shida na raha..
 
Vipi hapa ,zenyewe ziko wapi? Wenye jukwaa mmepotelea wapi?
Ndoo yenu ipo daraja bovu inawasubiri. Mafiaso wanafanya mazoezi kwa Liverpool leo.

Kale katimu kilicheza na Southampton ndio kina kiwango cha hii Watford kwa nini Wenger alipanga timu ya mbwembwe?

Lakini Watford walishajua Arsenal hawawezi mpira wa msuli-mwili na zile bao za haraka ziliwatia kiwewe
Ramsey na yule jamaa anayelimia meno.

Hiki kinaitwa kipigo kitakatifu na sasa Arsenal mjiandae kwa msimu ujao, msimu huu umeisha leo.

Pengo Mizinga alisema hakuna namna ,wapigwe tu.
 
Ni leo ni mfano wa jinsi msiba unavyokuaga, Weekend Chelsea ndio atawaonyesha nyie washika mishale leo zile nibebenibebe kama za mechi dhidi ya burnley zilikosekana a a a a a a a a a a a a a a a a a a a
 
Sisi ni midabwada 2 goals in a span of 3 minutes!? Nilidhani points 3 leo ni za uhakika. Kipigo kingine tutakipata Jumamosi na hivyo kupunguza kama si kuondoa kabisa matumaini ya kutwaa ubingwa.
Ndoo mnaweza kupata,lakini kwa ubingwa hamjawa tayari.Mnacheza kiutani utani.
Kama unafuatilia michezo ya Arsenal, anapocheza yule meno kule nyuma Arsenal inakuwa mrenda-bamia.

Mtu moja tu Arsenal ndio alionekana ana uchungu wa kufungwa Alexis, na alikuwa hapati supply za uhakika na mapema kutoka nyuma, alikuwa anarudi nyuma kutafuta mipira mwenyewe.

Usijali, kuna daraja lina nyufa kule kwa mafiaso na tenda amepewa Wenger.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Niko hapa Mkuu hujaniona!? Nimenuna.

Vipi hapa ,zenyewe ziko wapi? Wenye jukwaa mmepotelea wapi?
Ndoo yenu ipo daraja bovu inawasubiri. Mafiaso wanafanya mazoezi kwa Liverpool leo.

Kale katimu kilicheza na Southampton ndio kina kiwango cha hii Watford kwa nini Wenger alipanga timu ya mbwembwe?

Lakini Watford walishajua Arsenal hawawezi mpira wa msuli-mwili na zile bao za haraka ziliwatia kiwewe
Ramsey na yule jamaa anayelimia meno.

Hiki kinaitwa kipigo kitakatifu na sasa Arsenal mjiandae kwa msimu ujao, msimu huu umeisha leo.

Pengo Mizinga alisema hakuna namna ,wapigwe tu.
 
Huyo kila siku ndiye anayecheza kwa moyo mkubwa, usongo na kujituma kila mechi. Bora tu ajiondokee.

Ndoo mnaweza kupata,lakini kwa ubingwa hamjawa tayari.Mnacheza kiutani utani.
Kama unafuatilia michezo ya Arsenal, anapocheza yule meno kule nyuma Arsenal inakuwa mrenda-bamia.

Mtu moja tu Arsenal ndio alionekana ana uchungu wa kufungwa Alexis, na alikuwa hapati supply za uhakika na mapema kutoka nyuma, alikuwa anarudi nyuma kutafuta mipira mwenyewe.

Usijali, kuna daraja lina nyufa kule kwa mafiaso na tenda amepewa Wenger.
 
Back
Top Bottom