Leloo June
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 1,012
- 945
Sio vizuri kumsema mfiwa msibani
sijui wamelala mapema au wanachungulia hapa kimyakimya.Sio vizuri kumsema mfiwa msibani
sijui wamelala mapema au wanachungulia hapa kimyakimya.Kheeee kheee nimerudi kuomboleza mkuu,ila nawe umepona pona wale lipuli fc sio wa mchezo mchezoMarehemu mtarajiwa ni jirani yangu kabisa aisee. Yani tunaombana chumvi na sukari. Juzi tu nimempa kipa wangu...sijajua shida hasa ya jirani yangu huyu.
Ila asante bana msiba wa jirani msiba wangu...sisi ndo waafrika, kwenye shida na raha..

Kwa nini umenuna ? Mpira una matokeo aina 3.Niko hapa Mkuu hujaniona!? Nimenuna.
Mbona Leo mmelala mapema bandugu??? Washika mtutu naona Leo mlishika manati ya kipepe,poleni sana kwa msiba
-jirani mwema-
Dakika ya 13 tu walikuwa wameshalala mbili mtungi
mwisho wa mwezi kama kawaida yao tunawapa siku 5 au 7 watakua wameponaHii ni sawa na kumsema marehemu wala sio kumsema mfiwa....Gooooooooaaaaaaal
Arsenal 3 watford 2
Nwanko kanu
Mints: 370
What a long shot from Abuja
Toeni rambirambi, marehemu ni mkristo mazishi stamford bridge jumamosi!!!!Hivi lile goli la Deeney kulifanya kama mlio wa kwenye simu, unabonyeza ngapi vile?![]()
Wasameheni washakoma tiari..Toeni rambirambi, marehemu ni mkristo mazishi stamford bridge jumamosi!!!!
mkiweza kumbamiza Jumamosi bado ligi itakuwa inaendelea.
Kwa nini umenuna ? Mpira una matokeo aina 3.
Mimi ningekuwa Wenger ningeipa tena nafasi ile timu ilitoa kipigo cha 5-0 kujiridhisha kama ilikuwa bahati mbaya au waliamua kuonesha wako tayari kupigania nafasi kwenye timu.
Ukipambana na timu msuli-mwili unatakiwa kucheza fast pass na long balls na hili liliwashinda Arsenal.
Ukiangalia Mechi za Chelsea utaona kwa sasa wanacheza msuli,fast pass, wanatumia pembeni zaidi na kuhami watatu, wanne kwa pamoja. Mbinu hii imewasaidia sana msimu huu baada ya kipigo cha mwanzo cha 3-0.
Kufungwa na timu kama Chelsea, Tottenham, Man City, Man United, Liverpool hakushangazi lakini kufungwa na timu maiti ni kuwatengeneza Ngongo wengi.
Majogoo yamekataa leo kuwa kichwa cha mwendawazimu. Kwa hiyo Chelsea kaongeza pointi moja. mkiweza kumbamiza Jumamosi bado ligi itakuwa inaendelea.
Link Nimeacha kuishabikia Arsenal
Link2. Nimeamua kuachana na CHADEMA
Wewe subiri upakwe mafuta J1. Uwezo wanao, nia wanayo na ghadhabu/hasira wanazo!!!!!MKIWEZA...
Sawa tutakuwa tunasubiria...halafu ni kwetu.Wewe subiri upakwe mafuta J1. Uwezo wanao, nia wanayo na ghadhabu/hasira wanazo!!!!!
Nonda umekua mchambuzi wa mpira au mchafuzi wa hari ya hewaWewe subiri upakwe mafuta J1. Uwezo wanao, nia wanayo na ghadhabu/hasira wanazo!!!!!
Kwa nini umenuna ? Mpira una matokeo aina 3.
Mimi ningekuwa Wenger ningeipa tena nafasi ile timu ilitoa kipigo cha 5-0 kujiridhisha kama ilikuwa bahati mbaya au waliamua kuonesha wako tayari kupigania nafasi kwenye timu.
Ukipambana na timu msuli-mwili unatakiwa kucheza fast pass na long balls na hili liliwashinda Arsenal.
Ukiangalia Mechi za Chelsea utaona kwa sasa wanacheza msuli,fast pass, wanatumia pembeni zaidi na kuhami watatu, wanne kwa pamoja. Mbinu hii imewasaidia sana msimu huu baada ya kipigo cha mwanzo cha 3-0.
Kufungwa na timu kama Chelsea, Tottenham, Man City, Man United, Liverpool hakushangazi lakini kufungwa na timu maiti ni kuwatengeneza Ngongo wengi.
Majogoo yamekataa leo kuwa kichwa cha mwendawazimu. Kwa hiyo Chelsea kaongeza pointi moja. mkiweza kumbamiza Jumamosi bado ligi itakuwa inaendelea.
Link Nimeacha kuishabikia Arsenal
Link2. Nimeamua kuachana na CHADEMA
pole pole sana.Nimenuna kwa sababu najua mcheza kwao hutuzwa. Sikutegemea kabisa kama tutapoteza mechi ya leo pamoja na kujua mpira hudunda. Incostistency inatugharimu sana.
jamani juzi tu mlishinda 5 leo kushinda 1 ushakasirika. punguza hasiraYaani nyie Arsenal mnaumiza sana .silipii tena dstv kuangalia mpira