Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,824
Game ngumu sana hii,kipindi cha kwanza kimekuwa kigumu mnoo...Halafu huyu Refa huwa simpendi kabisa,sijui kwa nini....
Game ngumu sana hii,kipindi cha kwanza kimekuwa kigumu mnoo...Halafu huyu Refa huwa simpendi kabisa,sijui kwa nini....
Dalili za mvua huwa ni mawingu na mcheza kwao ......(it applies to some weak teams)
Yaani Jarome anavyocheza nahisi tumboni sina utumbo....anaweza kutuangamiza tusipokuwa makini.....
Umesikie eti "stazz yafanya kufuru shambani kwa bibi leo,yaichapa somalia 6-0"??
Hebu tuondolee gundu hapa ebo?.......Subiri game yenu baadae ndo uanze usheikh Yahya Hussein wako....
Ni lini mliacha kuwa wazembe..loluzembe uzembe uzembe uzembe uzembe uzembe uzembe uzembe mtupu.