Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

upload_2016-12-28_20-19-58.png


upload_2016-12-28_20-19-13.png


X-mass ilikuwa njema sana na sasa tunangoja mwaka mpya
tupo nusu ya kinyang'anyiro cha EPL ngwe ya kwanza ndio tumemaliza
sasa tunakwenda kwenye lala salama, all the best Gunners wote .. ..... ....[HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]
 
Hivi wadau mmesusa kuchangia humu? June wakati thread yetu ndio ilikuwa ndefu kuliko zote hapa JF. Ila sasa tumepitwa uchangiaji na Manure na wale wazee wa kubet.
 
upload_2016-12-29_22-38-48.png


upload_2016-12-29_22-39-9.png


Wote bado hawajafika pale king of clay Rafa Nadal
ambaye huwa anacheza wakati amevaa saa ya £500,000-00
 
Arsenal ni timu mbovu sana katika dunia ya sasa.
Kinachoshangaza umo humu khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie mbavu zangu .. .. .. Kibaya hukiongelei wala kuwa karibu nacho by any means ni aibu!
 
Happy New Year Aseno the maandaz
 

Attachments

  • IMG-20170101-WA0001.jpg
    IMG-20170101-WA0001.jpg
    39.4 KB · Views: 49
*MOURINHO ON BALOTELLI;*
"I could write a book of 200 pages of my two years at Inter with Mario, but the book would not be a drama – it would be a comedy,"
'I remember one time when we went to play Kazan in the Champions League. In that match I had all my strikers injured. No Diego Milito, no Samuel Eto'o, I was really in trouble and Mario was the only one."
''Mario got a yellow card in the 42nd minute, so when I got to the dressing room at half-time I spend about 14 minutes of the 15 available speaking only to Mario."
'I said to him: “Mario, I cannot change you, I have no strikers on the bench,
so don't touch anybody and play only with the ball. If we lose the ball no
reaction. If someone provokes you, no reaction, if the referee makes a
mistake, no reaction.”
'The 46th minute – red card!'
 
*MOURINHO ON BALOTELLI;*
"I could write a book of 200 pages of my two years at Inter with Mario, but the book would not be a drama – it would be a comedy,"
'I remember one time when we went to play Kazan in the Champions League. In that match I had all my strikers injured. No Diego Milito, no Samuel Eto'o, I was really in trouble and Mario was the only one."
''Mario got a yellow card in the 42nd minute, so when I got to the dressing room at half-time I spend about 14 minutes of the 15 available speaking only to Mario."
'I said to him: “Mario, I cannot change you, I have no strikers on the bench,
so don't touch anybody and play only with the ball. If we lose the ball no
reaction. If someone provokes you, no reaction, if the referee makes a
mistake, no reaction.”
'The 46th minute – red card!'
huyo ndio super Mario Balotelli
 
Happy New Year wakuu! leo Arsenal vs Crystal Palace

Hii ni mechi muhimu kabisa kuzingatia kwamba Tottenham leo wameshinda mechi yao na Watford.

Mechi ni katika uwanja wa Emirates.
 
Team News

Arsenal leo wanaanza na Olivier Giroud mbele na Alex Iwobi akiwa nyuma yake.

Alexis Sanchez na Lucas Perez wakiwa pembeni.

Katikati kuna Granit Xhaka na Mohamed Elneny, wakati nyuma kuna kipa Cech, Bellerin na Monreal.

Mabeki wa kati ni Koscelny na Gabriel.

Akiba: ni pamoja na Ramsey, Coquelin na Mustafi.

Crystal Palace:

Hennessey; Kelly, Dann (c), Tomkins, Ward; Cabaye, Flamini, Puncheon; Townsend, Zaha;
 
Back
Top Bottom