Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naskia PSG wanamtaka sana na wamemuhaidi donge nono sana.

Ebwana siku akiondoka huyu mzee nitafanya bonge la party japo najua tutayumba.
Si ni mpaka aondoke ! sera yake ya kubana matumizi inaendana na matajiri zenu mtaendelea kumuona hapo mpaka aamue mwenyewe kuondoka
 
Naskia PSG wanamtaka sana na wamemuhaidi donge nono sana.

Ebwana siku akiondoka huyu mzee nitafanya bonge la party japo najua tutayumba.
_93119185_wengerout_getty.jpg

Link Arsene Wenger: Arsenal boss says he is 'immune to excessive reactions'
 
Arsenal haina tofauti na demu wa kilokole hahaha ..arsenal ni mojawapo ya vitu vnavyoniondolea stress hahaha
 
Arsenal haina tofauti na demu wa kilokole hahaha ..arsenal ni mojawapo ya vitu vnavyoniondolea stress hahaha

Kuna kauli ukizisikia inabidi ujiulize mwenzetu alizaliwaje ni sawa kuna ku-troll ila tuheshimu imani za watu.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom