Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahaha yamewashinda maini mutauweza mfupa?
 
Hii Habari ya arsenal kufungwa ipuuzieni ni Habari chonganishi na hakuna ushahidi wowote maana wengi wetu hatujashuhudia hivyo basi all gunner's timu yenu iko imara kuchukua kikombe cha kunywea chai lakini


walitucheka sisi tulivyotoa droo.
 
jukwaa lipo kimya, tunatamba chelsea tu , leo tunawaacha gap point 6 na weekend mnachapwa na city hivyo gap itakuwa point 9. mkome kusogelea wakubwa
 
Sisi ni wabovu sana kulinda goli kwenye mipira ya kona, hatujui kabisa kujipanga na hili ni tatizo kwa misimu mingi tu.
Mkuu, hili ni goli la kwanza Arsenal anafungwa kupitia kona msimu huu.
 
Natamani mechi ya Man City mtoke Draw. Ila nna uhakika 100% hii mechi mtafungwa goli nyingi.

Arsenal halisi inaanza kuonekana hadi January mtakuwa mnashindana na Totenham kwenye nafasi ya 5.
 
Mafanikio ya mpira siku zote lazima uambatane na pesa huoni mfano wa Man United mzee faggie alitumia m-pesa kwa marefaree kuchukua ubingwa mfurulizo, ukiwa bahili huwezi chukua ubingwa labda uwashtukie kama alivyofanya Lester city!
 


OG signs new contract .... ... ...



Coquelin also signs new deal .... ... . Ding ... Dong
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…