Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mimi binafsi naomba niweke wazi kua timu yoyote ambayo itapangwa na Arsenal wacha waje maana sisi ni Arsenal na ikitokea tumeshindwa sio kitu kipya kabisa lazima tushindane na timu fulani kusonga mbele mimi ni Arsenal bila kujali matokeo yenu.
 
Inawezekana wakati Arsenal inabeba hata EPL haukuwepo ndio maana una mapokeo hasi kuhusu hii timu ila mimi nilikuwepo na nakuhakikishia sijawahi kujutia kuipenda Arsenal bila kujali matokeo ni kichaa kuanza kuogopa kuhusu timu ambayo tunakutana nao as if sisi tuna viwete tupu.
Bro' sisi ni Arsenal bila kujali hizo imani zenu za nani yuko mbele yetu hata AW kasema hili.
8924092881068f81bb79cb47e21355a7.jpg


Kuwepo wapi? Sijaanza kufuatilia Arsenal ilipobeba kombe jana wala juzi.... Tunaweza kuongea kiushabiki tunavyotaka lakini tunatakiwa tuwe realistic na kuangalia uwezo wa opponents na kuheshimu uwezo wa opponents. Ukiingia katika mechi kwa ku-underestimate bila respect uwezo wa opponent wako unatolewa kamasi kama Monaco walivyotutoa last season. Washabiki wengi walidhani tutaigonga Monaco matokeo yake wakatushitukiza. Hili nimeliona miaka kibao kwa timu yetu.
 
Kuwepo wapi? Sijaanza kufuatilia Arsenal ilipobeba kombe jana wala juzi.... Tunaweza kuongea kiushabiki tunavyotaka lakini tunatakiwa tuwe realistic na kuangalia uwezo wa opponents na kuheshimu uwezo wa opponents. Ukiingia katika mechi kwa ku-underestimate bila respect uwezo wa opponent wako unatolewa kamasi kama Monaco walivyotutoa last season. Washabiki wengi walidhani tutaigonga Monaco matokeo yake wakatushitukiza. Hili nimeliona miaka kibao kwa timu yetu.
Tupo champions league, huwezi kubeba kombe bila kuwafunga mabingwa, yeyote tutakaepangiwa halali yetu! Naamin tupo kwenye kiwango bora kwa sasa! Walete tu!
 
Kuwepo wapi? Sijaanza kufuatilia Arsenal ilipobeba kombe jana wala juzi.... Tunaweza kuongea kiushabiki tunavyotaka lakini tunatakiwa tuwe realistic na kuangalia uwezo wa opponents na kuheshimu uwezo wa opponents. Ukiingia katika mechi kwa ku-underestimate bila respect uwezo wa opponent wako unatolewa kamasi kama Monaco walivyotutoa last season. Washabiki wengi walidhani tutaigonga Monaco matokeo yake wakatushitukiza. Hili nimeliona miaka kibao kwa timu yetu.
Sawa ule ni mpila
 
Things are now not the same any more, for sure kwa hii tutakua na wakati mgumu though it will all come to pass....

Arsenal will reluctantly listen to offers for Mesut Ozil next summer if he does not lower his astronomical wage demands.

Both Ozil and Alexis Sanchez only have 18 months remaining on their contracts, and Arsenal are still hopeful of striking an agreement with the star duo.
6a0acb44371d356556089fb2ebad2d30.jpg


Chelsea are the latest club to join the queue of interested parties monitoring the situation of Sanchez, but it is Ozil who is currently thought to be more expendable if Arsenal are forced to consider cashing in.

Some sources claim Ozil and Sanchez want £20million-a-year, £384,000-a-week, to re-sign with the Gunners and Arsenal manager Arsene Wenger has appealed for them not to let money decide their futures.

Arsenal could risk letting the pair enter the final 12 months of their agreements if no compromise deals can be struck, but Telegraph Sport understands any big offers for Ozil would be looked at if he does not sign an extension.

Arsene Wenger has told Mesut Ozil he could become a club legend like Tony Adams

Ozil last week hinted that he is open to a return to Real Madrid, while Bayern Munich could also be interested in taking the 28-year-old back to Germany.

While Wenger and Arsenal have no desire to let Ozil go, it would appear the club think he would be easier to replace than Sanchez.

Neither Ozil nor Sanchez would be prepared to earn less than the other at the Emirates. Arsenal could afford to pay £15m-a-year, £288,000-a-week, to one of them but it is unlikely they would sanction such a big contract for both men.

Ozil is currently the highest paid player at Arsenal on £140,000-a-week, £10,000 more than Sanchez. Manchester City and Juventus have so far shown the most interest in the Chile international, with Chelsea now watching developments closely.

Replacing either Ozil or Sanchez would be a hugely difficult task and Wenger has already lined up Borussia Dortmund’s Marco Reus as a potential target at the end of the season.

But, as Wenger has found in recent years, finding top-class strikers who fit into Arsenal’s budget is far harder than signing attacking midfielders.

Sanchez has this season been deployed as Arsenal’s central striker with spectacular results, as the former Barcelona man has already hit 11 Premier League goals this season and is the division’s joint top scorer with Diego Costa.

He became frustrated with life at Arsenal last season, but his attitude has markedly improved this term and he appears happier.

Ozil has also insisted he is happy at the Emirates, but fluttered his eyelids towards his former club Real in an interview in Spain that was published last week.

Asked directly if he would be open to a return to Real, Ozil, who joined Arsenal for £42.5m from the Spaniards in 2013, was reported to have smiled and replied: “You never know.”

He said: “I am very happy playing in such a big club like Arsenal, which has amazing fans and they also encourage me a lot. I am playing very well in London, but in football you never know… We’ll see what happens in the future.”

On the subject of whether or not he missed Madrid, Ozil added: “I miss the times [laughs]. That sun is… there is always sun. I tell you, I have great memories from there, with the club, the city, people.

Since his arrival in 2013, Ozil has become the attacking force around which Wenger has built his side

“Of course, sometimes you stop and think and well, you can miss it. Now I am happy at Arsenal, but you never know what can happen in the future. We will see.”

While Arsenal sweat over the futures of Ozil and Sanchez, Wenger has insisted the club will also offer a new contract to Jack Wilshere, who is out on loan at Bournemouth.

908be474f4093beebc2c8e22ef070181.jpg


Former England midfielder Ray Wilkins believes Arsenal should keep Wilshere and let Ozil go, saying: “I’d have Sanchez all day long. I’d bring Jack Wilshere back and let Ozil go.

“I think Jack is thoroughly enjoying himself at Bournemouth. He is actually playing week in, week out and you can see progress he is making. Thankfully he is over the injury problems he has had in the past.

“I think Jack Wilshere could be the equal of Ozil, if not better. He has a total commitment around the pitch. Ozil has wonderful touches, but when he plays against the big teams sometimes you see him go missing.”
 
*AS IT STANDS*

*UEFA Champions League - Group A 2016/17*

1 Arsenal
2 Paris Saint-Germain
3 Ludogorets
4 Basel

*UEFA Champions League - Group B 2016/17*

1 Napoli
2 Benfica
3 Besiktas
4 Dynamo Kiev

*UEFA Champions League - Group C 2016/17*

1 Barcelona
2 Manchester City
3 M'gladbach
4 Celtic

*UEFA Champions League - Group D 2016/17*

1 Atletico Madrid
2 Bayern Munich
3 FK Rostov
4 PSV Eindhoven

*UEFA Champions League - Group E 2016/17*

1 Monaco
2 Bayer Leverkusen
3 Tottenham Hotspur
4 CSKA Moscow

*UEFA Champions League - Group F 2016/17*

1 Borussia Dortmund
2 Real Madrid
3 Legia Warsaw
4 Sporting Lisbon

*UEFA Champions League - Group G 2016/17*

1 Leicester City
2 FC Porto
3 FC Copenhagen
4 Club Brugge

*UEFA Champions League - Group H 2016/17*

1 Juventus
2 Sevilla
3 Lyon
4 Dinamo Zagreb

*Knockout phase*

*2016–17 UEFA Champions League knockout phase...In the knockout phase teams play against each other over two legs on a home-and-away basis, except for the one-match final.*

*The mechanism of the draws for each round is as follows:*

*In the draw for the round of 16, the eight group winners are seeded, and the eight group runners-up are unseeded.*

*The seeded teams are drawn against the unseeded teams, with the seeded teams hosting the second leg.*

*Teams from the same group or the same association cannot be drawn against each other.*

*In the draws for the quarter-finals onwards, there are no seedings, and teams from the same group or the same association can be drawn against each other.*

*Round of 16*

*The draw for the round of 16 will be held on 12 December 2016.*

*The first legs will be played on 14, 15, 21 and 22 February, and the second legs will be played on 7, 8, 14 and 15 March 2017.*

*Group Winners (Seeded in round of 16 draw)*

Arsenal
Paris Saint-Germain

Napoli
Benfica

Barcelona
Manchester City

Atlético Madrid
Bayern Munich

Monaco
Bayer Leverkusen

Borussia Dortmund
Real Madrid

Leicester City
Porto

Juventus
Sevilla

*Quarter-finals*

*The draw for the quarter-finals will be held on 17 March 2017.*

*The first legs will be played on 11 and 12 April, and the second legs will be played on 18 and 19 April 2017.*

*Semi-finals*

*The draw for the semi-finals will be held on 21 April 2017.*

*The first legs will played on 2 and 3 May, and the second legs will be played on 9 and 10 May 2017.*

*Final*

*2017 UEFA Champions League Final*

*The final will played on*

*3 June 2017*

*at the Millennium Stadium*

*in Cardiff,*

*Wales.*

*Top goalscorers*

Lionel Messi
10

Edinson Cavani
6

Robert Lewandowski
5

Arda Turan
4

*THANKS*

*ENGRDHREY*
 
Ntuzu sijaona timu yako, mnacheza lini? Hata Ali Hamisi hamuonekani, khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mwambie huyo Invisible Mentor ring I d I o t s aongelee mambo ya soccer sio ngonjera za kukaa kwenye cow shed tu na porojo za vijiweni. Tunatisha na tutakuja kuwapiga tena hapo hapo kwenye cow shed yenu, maana vijana tunao, mpira wanafundishwa Colney, wachezaji wakuwapiga hat-trick tunao khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Tukisha wazibua tena mtapata akili kidogo khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
 
''Arsenal boss Arsene Wenger says Mesut Ozil and Alexis Sanchez will remain at the club for ‘at least’ the next 18 months, regardless of their ongoing contract negotiations with the club.''

Prof amesema leo hawezi kuruhusu mchezaji yeyote nyota kuondoka Gunners hadi amalize mkataba wake, safi sana Le Prof. Ding .... Dong.

6273951481.jpg


Sanchez and Ozil have 18 months to run on their existing deals

 
Ntuzu sijaona timu yako, mnacheza lini? Hata Ali Hamisi hamuonekani, khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mwambie huyo Invisible Mentor ring I d I o t s aongelee mambo ya soccer sio ngonjera za kukaa kwenye cow shed tu na porojo za vijiweni. Tunatisha na tutakuja kuwapiga tena hapo hapo kwenye cow shed yenu, maana vijana tunao, mpira wanafundishwa Colney, wachezaji wakuwapiga hat-trick tunao khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Tukisha wazibua tena mtapata akili kidogo khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.


If wishes were horses...
 
''Arsenal boss Arsene Wenger says Mesut Ozil and Alexis Sanchez will remain at the club for ‘at least’ the next 18 months, regardless of their ongoing contract negotiations with the club.''

Prof amesema leo hawezi kuruhusu mchezaji yeyote nyota kuondoka Gunners hadi amalize mkataba wake, safi sana Le Prof. Ding .... Dong.

6273951481.jpg


Sanchez and Ozil have 18 months to run on their existing deals


Mkuu, hakuna mchezaji wa Arsenal atakaeondoka mwezi ujao, kikiosi kimekamilika.

Santi atarudi in two months na Daniel Wellbeck yupo njiani kurudi kwenye first XI.

Safari hii wameanza na propaganda zao ni wa kuwapuuza tu.
 
Chama letu lipo vizuri kwa sasa, hata hao Madrid, B/Munich, Liverkuzen sijui nao wanasali sana wasikutane ni mitutu ya London. Wanaofikiri Aseno ni underdog kwa hao wanaowaona wao kuwa eti ni miamba, watakonda na roho zao kwani mpira unachezwa uwanjani peupeee na mwamuzi ni dk 90.. Tukutane j3 droo itakapopangwa
 
Wenga aache ujinga atoe mahela awalipe hawa majamaa akileta ujinga wake tutaharibu majembe yetu
 
Ntuzu sijaona timu yako, mnacheza lini? Hata Ali Hamisi hamuonekani, khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mwambie huyo Invisible Mentor ring I d I o t s aongelee mambo ya soccer sio ngonjera za kukaa kwenye cow shed tu na porojo za vijiweni. Tunatisha na tutakuja kuwapiga tena hapo hapo kwenye cow shed yenu, maana vijana tunao, mpira wanafundishwa Colney, wachezaji wakuwapiga hat-trick tunao khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee. Tukisha wazibua tena mtapata akili kidogo khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Naona unaota ndoto za mchana kaka. Arsenal hakuna timu nisiloliamini kama arsenal. Kesho unakutanana na nani epl
 
Back
Top Bottom