Look it at a deeper picture. Realistically, Arsenal chances to beat either Real Madrid or Bayern Munich are slimmer to none. Tunaweza kujidanganya kwa unazi kuwa hatuogopi tutakayepangiwa lakini ukweli ndio huo. Ndio maana timu inakazania kumaliza at top spot ili ipate an easier draw. Last 7 UCL seasons Arsenal waliprogress out of last 16 mara moja na ilikuwa vs Porto season ya 2008/2009. Misimu mingine tulitolewa na Bayern Munich(mara 2), Barcelona(mara 2), Borussia Dortmund (Not sure) na Monaco. Kitu kimoja ambacho hapa JF na hasa wapenzi wa mpira wa kiafrika tupo kiunazi zaidi huwezi kukuta mtu(me included) anakuwa critical juu ya timu yake inapofanya vibaya tunatafuta visingizio vinavyotuliwaza. Na huu ndio ukweli.