MpigaFilimbi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,169
- 188
wakuu wa emirates msisahau kuwaombea liverpool kesho washinde kwenye dua zenu za kila siku.
..itabidi kesho tuungane na Liverpool na Blackburn, yote yanawezekana!!
wakuu wa emirates msisahau kuwaombea liverpool kesho washinde kwenye dua zenu za kila siku.
ha ha ha ha kweli mkuu dawa ya wachawi ni kufanya mambo yako kimya kimya .Shhhhhhhhhhhhhh...kimyakimya,hahaaaaaaaaaa
Mgonjwa yupo ICU lol
wakuu wa emirates msisahau kuwaombea liverpool kesho washinde kwenye dua zenu za kila siku.
Bado sijaona pale kati kazi ya Behrami..Forza Diamanti.
ndio ulichokuwa unasubiri but we will make it.
Hebu wataalam wenzangu wa arsnl nielimishen hapa.
Huyu vamalin atatakiwa kuwa nje mech 2 au 3 za ligi?
Na asipo-appeal wana ongeza mechi moja kati ya hizo 2 au 3 sio? Remember it was a straight red!
bring on barcelona,in order to be the champion u have to beat the best teams.so comon barca bring it on.
Oyaa hizi excuse za refa zinatoaka wapi? Kwani ile ya Lehman haikuwa faulo?
asante refa naona umeona mechi 7 kufikia ubingwa karibu sanaa.umetuondolea beki wetu tutafika tu.
A bit harsh sending off kwa Vermalen...
Poor decision i think.
wakuu wa emirates msisahau kuwaombea liverpool kesho washinde kwenye dua zenu za kila siku.
Hapa naona kumeshadoda, ngojea niende zangu kwenye ligi ngumu kuliko zote duniani..
mkuu ulikuwa uwanjani nini? asante sana kwa picha.Hiyo ndio hasa You need to meet the best and win .....
Kwani hufahamu marefa nao ni washabiki wa timu?
yatatokea mengi kwenye hizi mechi za mwisho ngoja tusubiri tuone
At keast unakubaliana na hilo ... ..... Huyu refa ni mshabiki au amepewa fweza.
Kha kha wenzako Manure tayari wameanza kulia kimanga.
Matarajio yako yote ulilala ukafikiri kwamba West Ham watashinda? Karibu sana na pole kwa safari.
Counting seven matches to go ....
nimerudi sasa ilibidi niende kununua bia na sasa naanza kuchoma nyama manake mambo si mabaya lol.Achana naye huyo,yeye kila wakati anawza na kuomba baya kwa Arsenal....Thank God kila baya analotuombea halitoke(na kamwe halitatokea)....Sisi tunaendelea mbeeeeeeeeele...Hahaaaaaaaa