Arsenal (The Gunners) | Special Thread


...aaaaah,
Kimchezo tunalingana bana, sema wao wapo La Liga Spain na 'Washika bunduki' wapo EPL uingereza. 🙂
 
Mara zote nimekuwa na uhakika na Arsenal na sijawhi kuwa dissapointed na vijana hawa. Let us wait na wale wote wasioamini kuwa Arsenal anamng'oa Barca wasubiri two weeks to come. Am very optmistic
 
Ushindi upo. Barca ya mwaka huu miguu imeanza kuchoka na wanamtegemea zaidi Messi kufunga magoli. Dawa ni kumzuia asicheze game lake.
 
Mara zote nimekuwa na uhakika na Arsenal na sijawhi kuwa dissapointed na vijana hawa. Let us wait na wale wote wasioamini kuwa Arsenal anamng'oa Barca wasubiri two weeks to come. Am very optmistic

are serious???since 2005 hujawa disappointed???if thats the case u wont be disappointed na hawa vijana ever!!
 
Ushindi upo. Barca ya mwaka huu miguu imeanza kuchoka na wanamtegemea zaidi Messi kufunga magoli. Dawa ni kumzuia asicheze game lake.

all the best,as man utd fan i'll be happy if u dump barcelona out of this cup,but i wont see this happening,anyway this is fball anything can happen.
 
Oyaa hizi excuse za refa zinatoaka wapi? Kwani ile ya Lehman haikuwa faulo?
 
Mkubwa hata wakitufunga sisi tukiwafunga Chelsea ubingwa wetu
 
"Together we stand maaazee!" 😀

Peasant tunaomba dua zako mkubwa,
tutawalipia kisasi alichowafanya yule Iniesta.

Kombe la Champions League nalo lije London mwaka huu!
Afadhali mosquito unajua kuwa kuwa wote nyie vibonde
 
Mkubwa hata wakitufunga sisi tukiwafunga Chelsea ubingwa wetu

Maneno yako ni lweli lakini umemsikia Fergi au unabwata bwata tu ka jibwa jizi lililokula mkomg'oto wa jiwe? Au tumuulize pakajimmy? (I mean sio Pakajimmy wa JF in reality).







Belo anataka kuwa fergi khe khe khe ... ... naona unawaza chandimu khe khe kheeeeeeeeee au nawewe umekuwa kama Nani?
 
Mind games hizo ,shauri yako
 
Nawaangalia Aston Villa hapa wanaadhirika nyumbani katuka mechi ambayo nilijua watashinda. Ni dakika ya 55 wako nyuma 2-1 kwa Wolves, lakini bado wana muda wa kutosha angalau kujipatia point moja kama siyo kuchukua points zote.
 
AV wanasawazisha katika dakika ya 81
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…